kwanini backberry company (RIM) imeanguka

kwanini backberry company (RIM) imeanguka

elmagnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
8,260
Reaction score
9,743
Sikuwahi kutumia simu ya blackberry mpaka hivi karibuni nilipoletewa zawadi ya blackberry 9900 na rafiki yangu.
Kiukweli sikuwahi kufikiria kama blackberry inaweza kuwa simu nzuri. Nimewahi kutumia simu za nokia e series, n series na lumia, pia nimetumia simu za android kama samsung, Lg na Htc na nimetumia iphone japo nimeishia iphone 4s, ila baada ya kutumia blackberry nadiriki kusema yafuatayo:
Blackberry os ni user friendly sana na ni rahisi kutumia.
Pia apps zake zinavyo interact baina yake yan application moja na nyingine ni vizuri kweli mfano interaction ya whatsapp, facebook, viber na bbn messenger inavutia sana.
Japo push email ipo kwenye kila smart phone lakini nimependa zaidi kwenye blackberry.
System yake iko stable haicrash na ku freez freez.
Nina mengi ya kuandika lakini nimebaki najiuliza swali je ni kwanini watu hawapendi tena simu za bberry.
Nilitaka kuiuza nilipopewa lakini nilipoitumia tu siku ya kwanza ni fall in love with it.
 
I love bb pia ila cost ya kumanage bb ndo inayokwaza wengi maana kulipia service kila mwezi sio wote wana afford

Naipenda kwasababu ya huko kulipia kila mwezi.
 
BB tamu sana hasa hizi zenye 3G ukiplus na opera min yani ukigusa page hii,watu wanaogopa kwa ajili inabidi ulipie kupata internet.
 
kaka bb haijawah kua user friendly bali ni business friendly. bb haina entertainment yoyote games za tabu hivi ushawah hata kusearch game la vita au la mpira? bb ina magame yale yakikapitalist aina ya arkanoid unacheza dk 2 unaliacha.

ishu za miziki video movies mambo ya kustream ipo ovyo kabisa.

pamoja na kua internet yake ipo limited na matumizi mengine inakula salio imemis counter ya kulimit ulaji wa salio

bb imekosa app za bure nyingi na pia application zake haziiingiliani toka os moja kuja nyengine ni rahisi kukuta app ya os 5 huwez ieka os 7

ni mengi yana weakness kwa bb kuwa user friendly. ila ilikuwa ni os nzuri kwa wafanya biashara na makampuni?

why imekufa?
imekufa sababu ya ios imempokonya bb tonge lake la simu ya biashara na hivyo bb kukosa mapato mengi
 
habari za ndani juu ya kuanguka kwa BB Shortly after the release of the first iPhone, Verizon asked BlackBerry to create a touchscreen "iPhone killer." But the result was a flop, so Verizon turned to Motorola and Google instead.
In 2012, one-time co-CEO Jim Balsillie quit the board and cut all ties to BlackBerry in protest after his plan to shift focus to instant-messaging software, which had been opposed by founder Mike Lazaridis, was killed by current CEO Thorsten Heins. Habari nzima ipo hapa " How BlackBerry blew it: The inside story - The Globe and Mail "
 
kaka bb haijawah kua user friendly bali ni business friendly. bb haina entertainment yoyote games za tabu hivi ushawah hata kusearch game la vita au la mpira? bb ina magame yale yakikapitalist aina ya arkanoid unacheza dk 2 unaliacha.

ishu za miziki video movies mambo ya kustream ipo ovyo kabisa.

pamoja na kua internet yake ipo limited na matumizi mengine inakula salio imemis counter ya kulimit ulaji wa salio

bb imekosa app za bure nyingi na pia application zake haziiingiliani toka os moja kuja nyengine ni rahisi kukuta app ya os 5 huwez ieka os 7

ni mengi yana weakness kwa bb kuwa user friendly. ila ilikuwa ni os nzuri kwa wafanya biashara na makampuni?

why imekufa?
imekufa sababu ya ios imempokonya bb tonge lake la simu ya biashara na hivyo bb kukosa mapato mengi

Umeongea maneno yangu yote. Wasoijua BB wanaweza danganyika na huyu mtumiaji mpya wa BB. Ndio maana umepewa bure.
 
Umeongea maneno yangu yote. Wasoijua BB wanaweza danganyika na huyu mtumiaji mpya wa BB. Ndio maana umepewa bure.

sidhani kama kunipa bure kuna relation na kutokuwa na ubora wake hiyo simu ilikuwa boxed haijatumiwa na ukiulizia dukani inazidi bei ya simu nvingi zinazo run android sokoni kwa hiyo kanipa tu kwa mapenzi yake.
 
nimesoma hiyo habari yote nimecheka sana pale CEO wa Bberry aliposema kwamba alipoona iphone akaogopa akaona apple wameamishia mac kwenye simu maana OS tu ina mb 700 wakati yao mb 32 wame break all rules ina browser ambayo inakuruhusu kufanya lolote kwenye mtandao bila kukulimit akawaza network suppliers system zao zita crash
habari za ndani juu ya kuanguka kwa BB Shortly after the release of the first iPhone, Verizon asked BlackBerry to create a touchscreen "iPhone killer." But the result was a flop, so Verizon turned to Motorola and Google instead.
In 2012, one-time co-CEO Jim Balsillie quit the board and cut all ties to BlackBerry in protest after his plan to shift focus to instant-messaging software, which had been opposed by founder Mike Lazaridis, was killed by current CEO Thorsten Heins. Habari nzima ipo hapa " How BlackBerry blew it: The inside story - The Globe and Mail "
 
kama ulikuwa unatumia HTC kabla ni haki yako ila kwa alieanza kuzitumia hizo BB majanga matupu streaming ovyo urasimu wa matumizi mpaka ulipie ndio upate huduma za email. lakini tangu nihamie android na enjoy to the fullest kuanzia apps nyingi za bure streaming ya uhakika ingawa networks zetu nyingi ni 2g na 3g, email popote hata nikiweka jero napokea mail zangu mkononi, mpaka games za kutosha. kama Kuna lolote namiss katika BB ni BBM tuu ambayo kwa taarifa zilizopo itapatikana ndani ya android pia..
 
Baada ya BBM kuwepo kwenye Android sasa hivi BlackBerry inaitwa CALCULATOR
 
kama ulikuwa unatumia HTC kabla ni haki yako ila kwa alieanza kuzitumia hizo BB majanga matupu streaming ovyo urasimu wa matumizi mpaka ulipie ndio upate huduma za email. lakini tangu nihamie android na enjoy to the fullest kuanzia apps nyingi za bure streaming ya uhakika ingawa networks zetu nyingi ni 2g na 3g, email popote hata nikiweka jero napokea mail zangu mkononi, mpaka games za kutosha. kama Kuna lolote namiss katika BB ni BBM tuu ambayo kwa taarifa zilizopo itapatikana ndani ya android pia..
sasa nimeelewa kwanini watu hawapendi bberry na kwanini mimi nimeipenda>
mimi si mpenzi wa kucheza games kwenye simu kwa hiyo hata kwenye android na iphone sikuwa nina install games, mimi games ni kwenye computer na game consoles.
pia suala la kustream kwenye simu mimi kwangu sipendelei unless nasoma habari labda iliyoambatana na video hapo naweza stream lakini siwezi anza eti angalia movie kwenye simu au mziki.
kuhusu kulipia data bundle za bberry hata mimi sijapenda naona kama ni urasimu mfano mimi bundle nalipia lakini siifaidi kivile kwakuwa nadhani mpaka week inaisha nakuwa sijatumia hata mb 700 maana mimi zaidi ya apps za facebook, whatsapp, viber, linkeid, jamii forums na ku surf kawaida niwapo mbali na computer sina ninachofanya zaidi.
kwanini unaiponda htc kwani htc ni mashine kubwa kaka ushatumia HTC one
 
sidhani kama kunipa bure kuna relation na kutokuwa na ubora wake hiyo simu ilikuwa boxed haijatumiwa na ukiulizia dukani inazidi bei ya simu nvingi zinazo run android s

hyo bb 9900 haikai sana chaj, simu nyng za bb hazkai chaj, mayb hii z30, zen garama kubwa kuafford, ndo maana wanapew akna mama ambao hawana mambo meng ya kufanya kweny cm,call na sms bas, kjana wa ksasa huwezjdai na bb, sure nakwambia, iphone,galaxy,lumia, lg, windows phone8 na android, n ulmwengu wa apps.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom