Kwanini Baba alimuamini Mama?

Kwanini Baba alimuamini Mama?

Joined
Oct 27, 2017
Posts
91
Reaction score
94
Ni maneno ya Bibi mmoja kwenye daladala~ alikuwa muuza mboga kwasasa ameacha. Wakati baba yupo inamaana mama alikuwa anaishi kwa kuigiza au mama alikuwa anaskilizia. Baba mama anageuka, amini siku zote tabia ya mama iliyojificha hutambulika baba akiwa hayupo.

Hivi kwanini rasilimari zinaondoka kwa kasi lakini deni la Taifa halishuki, Ina maana rasilimari zetu hazitoshi?

Nani alaumiwe, Baba kumuamini mama au mama kumgeuka baba?

Pumzika Baba huenda akaja Baba mwingine mwenye uchungu na familia.
 
Baba alikuwa kikwete huyu mwingine buriani labda alikuwa wa kambo
 
Baba yule wa kambo, baba gani aliyekuwa anatesa wenzie mpaka watoto wakawa wanatamani kuwa na baba mwingine?

Afadhali ya mama anawapenda watoto wake kuliko baba ilivyokuwa ukihoji tu tunaishia kupigwa makonzi,
 
Ni maneno ya Bibi mmoja kwenye daladala~ alikuwa muuza mboga kwasasa ameacha. Wakati baba yupo inamaana mama alikuwa anaishi kwa kuigiza au mama alikuwa anaskilizia. Baba mama anageuka, amini siku zote tabia ya mama iliyojificha hutambulika baba akiwa hayupo...
Jana Amos Makalla akiongea EATV amesema jambo la maana sana, kwamba,

" Katiba inaposema akifa rais basi makamu atamrithi, kuna uwezekano makamu akiwa ni mchawi atamroga rais afe".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom