KwANINI BAADHI YA WATU HUWASHA UDI MADUKANI KWAO?

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,655
Ukipita sehemu nyingi hususani za biashara. Utasikia,harufu ya udi kwenye baadh ya maduka hayo japokuwa si maduka yote. Je kuna faida gani inayopatikana pindi utakapowasha udi katika biashara yako au nyumbani kwako?
 
Ni imani kwamba watafanikiwa zaid. Mara nyingi huwa na uhusiano na ushirikina. Hata hivo nadhani kuna dini fulani ina imani za kutumia udi na marashi...
 
Wengine zinawakera! Nadhani labda kwa ajili ya marahamu au imani fulani za kukaribisha madudu eti yanayoitwa ya kiroho sina uhakika lakini. Ni vizuri wangewasha kwenye majumba yao ili wasikere wengine. Naona hilo nalo tutaliweka kwenye katiba mpya!!!
 
Ni imani kwamba watafanikiwa zaid. Mara nyingi huwa na uhusiano na ushirikina. Hata hivo nadhani kuna dini fulani ina imani za kutumia udi na marashi...

....................dini fulani ! funguka na ulete ushahidi ! kwani wale wakina mama wanaojifukizia udi chini ya mapaja ni kwa ajili ya nini ? na wale wanajipaka vitu makwapani huwa ni kuwasaidia nini ?
 
Ni imani kwamba watafanikiwa zaid. Mara nyingi huwa na uhusiano na ushirikina. Hata hivo nadhani kuna dini fulani ina imani za kutumia udi na marashi...

....................dini fulani ! funguka na ulete ushahidi ! kwani wale wakina mama wanaojifukizia udi chini ya mapaja ni kwa ajili ya nini ? na wale wanajipaka vitu makwapani huwa ni kuwasaidia nini ?

Zion daughter katupa jiwe Gizani limemdondokea mchizi ally kombo...heh ehe , ukisikia , ng'weee! ujue limempata. ha aha aha kwaheri kwa sasa
 
imani ya udi ni kuleta mvuto na na harufu nzuri! sasa sio kila mtu anapenda harfu ya udi, ni sawa na wewe unapulizia perfume kuna kila aina ya perfume na si kila mtu anapenda hiyo perfume, na imani ya perfume pia nikuleta mvuto na imani ya kunukia vizuri. udi umekaaa kiarabu zaidi na perfume zimekaa kizungu zaidi! hazina tofuti hizi kitu, udi kwa kuwa uko kiarabu zaidi na watu wa pwani wnapenda kuutumia kwakuwa ni natural na hauna madhara na perfume si natural zaidi na ina mazara zaidi. sasa kwakuwa watu wanachuki na watu wenye asili hii ya udi ndo mana wanaropoka mabaya na kwa kukuwa wanawatukuza watu wenye asili hii ya perfume ndo mana wanazidhamini sana bila kugundua kuwa zina wazuru. KWA kifupi hata hizo perfume tunazpulizia pia zinakaribisha mashetani na madudu mengine ya ajabu kwani unapopulizia perfume flani kuna zinazofanya upatwe na hisia za kimwili na kuvutiwa na mtu husika sasa hii kitu ni tabia ya shetani ambaye amekariishwa na harufu hiyo kwa ajili ya kuwarubuni wawili nyie, hata hizi airfresh nazo niko kama udi,perfume. hii ni ishu ya utamaduni na asilia ya kimanukato zaidi yankotokea. sasa kama mtu wewe unakereka na udi basi usiingie dukani hapo wewe nenda maduka mengine yamejaa mengi tu, na hata kama hayo mengine unayoenda utakuta unafanya bishara na mtu aliye uchi bila wewe kumuona, au amechimbia mavitu yake humo dukani isiyoyaona, kwa kifupi ushirikiana hauna dini! bali asilimia 99 ya dunia hii watu wanaushirikina, HATA WEWE ULIETUPIA HUU UDHI NINAUHAKIKA USHIRIKINA UNAO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE, tusidanganyane dunia ya sasa inaendeshwa kishirikina mana hata hao tunaowaamini katika imani zetu za dini kuwa ni viongozi, ndio washirikina namba 1.
 
Huleta harufu nzuri..[KWANI HEWA YA KAWAIDA HAITOSH MPAKA MUWEKE UDI SEHEM AMBAZO WATU WENYE MTIZAMO TOFAUTI HUPITA AU KUPATA HUDUMA?

mbona kuna wanaopaka vingi zaidi ya uo udi! wazungu wameleta vitu vya kurudisha utoto kwa mwana mke na vinamadhara udi hauna madhara kwa kuwa pale ni imani tu kuwa kunaleta mvuto, sasa kitu kama icho kurudisha utoto wewe unakionaje? mbona watu wanapuliziia maperfume kwani hewa ya kawaida haitoshi?
 
imani ya udi ni kuleta mvuto na na harufu nzuri! sasa sio kila mtu anapenda harfu ya udi, ni sawa na wewe unapulizia perfume kuna kila aina ya perfume na si kila mtu anapenda hiyo perfume, na imani ya perfume pia nikuleta mvuto na imani ya kunukia vizuri. udi umekaaa kiarabu zaidi na perfume zimekaa kizungu zaidi! hazina tofuti hizi kitu, udi kwa kuwa uko kiarabu zaidi na watu wa pwani wnapenda kuutumia kwakuwa ni natural na hauna madhara na perfume si natural zaidi na ina mazara zaidi. sasa kwakuwa watu wanachuki na watu wenye asili hii ya udi ndo mana wanaropoka mabaya na kwa kukuwa wanawatukuza watu wenye asili hii ya perfume ndo mana wanazidhamini sana bila kugundua kuwa zina wazuru. KWA kifupi hata hizo perfume tunazpulizia pia zinakaribisha mashetani na madudu mengine ya ajabu kwani unapopulizia perfume flani kuna zinazofanya upatwe na hisia za kimwili na kuvutiwa na mtu husika sasa hii kitu ni tabia ya shetani ambaye amekariishwa na harufu hiyo kwa ajili ya kuwarubuni wawili nyie, hata hizi airfresh nazo niko kama udi,perfume. hii ni ishu ya utamaduni na asilia ya kimanukato zaidi yankotokea. sasa kama mtu wewe unakereka na udi basi usiingie dukani hapo wewe nenda maduka mengine yamejaa mengi tu, na hata kama hayo mengine unayoenda utakuta unafanya bishara na mtu aliye uchi bila wewe kumuona, au amechimbia mavitu yake humo dukani isiyoyaona, kwa kifupi ushirikiana hauna dini! bali asilimia 99 ya dunia hii watu wanaushirikina, HATA WEWE ULIETUPIA HUU UDHI NINAUHAKIKA USHIRIKINA UNAO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE, tusidanganyane dunia ya sasa inaendeshwa kishirikina mana hata hao tunaowaamini katika imani zetu za dini kuwa ni viongozi, ndio washirikina namba 1.
Mkuu umejibu kiutu uzima..big up.
Sisi wabongo kukicha milawama tuuuu...oh sijui hili sijui yule. Hilo duka si la kwake? Ili mradi hajafukiza huo UDI nyumbani Kwako inakusumbua nini?
Kazi kuita Wenzao washirikina kumbe wao ndio wanatembea na matunguli na mivichwa ya Paka kwenye mipochi Yao mikubwa. Wabongo bwana!!!! Kutwa kulalama tu. Wewe mleta mada nenda ukaunde Tume Kuchunguza hayo maduka yanayofukiza UDI,halafu upeleke hiyo ripoti kwa Prof. Maji Marefu.
 
imani ya udi ni kuleta mvuto na na harufu nzuri! sasa sio kila mtu anapenda harfu ya udi, ni sawa na wewe unapulizia perfume kuna kila aina ya perfume na si kila mtu anapenda hiyo perfume, na imani ya perfume pia nikuleta mvuto na imani ya kunukia vizuri. udi umekaaa kiarabu zaidi na perfume zimekaa kizungu zaidi! hazina tofuti hizi kitu, udi kwa kuwa uko kiarabu zaidi na watu wa pwani wnapenda kuutumia kwakuwa ni natural na hauna madhara na perfume si natural zaidi na ina mazara zaidi. sasa kwakuwa watu wanachuki na watu wenye asili hii ya udi ndo mana wanaropoka mabaya na kwa kukuwa wanawatukuza watu wenye asili hii ya perfume ndo mana wanazidhamini sana bila kugundua kuwa zina wazuru. KWA kifupi hata hizo perfume tunazpulizia pia zinakaribisha mashetani na madudu mengine ya ajabu kwani unapopulizia perfume flani kuna zinazofanya upatwe na hisia za kimwili na kuvutiwa na mtu husika sasa hii kitu ni tabia ya shetani ambaye amekariishwa na harufu hiyo kwa ajili ya kuwarubuni wawili nyie, hata hizi airfresh nazo niko kama udi,perfume. hii ni ishu ya utamaduni na asilia ya kimanukato zaidi yankotokea. sasa kama mtu wewe unakereka na udi basi usiingie dukani hapo wewe nenda maduka mengine yamejaa mengi tu, na hata kama hayo mengine unayoenda utakuta unafanya bishara na mtu aliye uchi bila wewe kumuona, au amechimbia mavitu yake humo dukani isiyoyaona, kwa kifupi ushirikiana hauna dini! bali asilimia 99 ya dunia hii watu wanaushirikina, HATA WEWE ULIETUPIA HUU UDHI NINAUHAKIKA USHIRIKINA UNAO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE, tusidanganyane dunia ya sasa inaendeshwa kishirikina mana hata hao tunaowaamini katika imani zetu za dini kuwa ni viongozi, ndio washirikina namba 1.
Ukiwa wa shetani utamwamini shetani na atakusaidia kwa mashariti ya kishetani lakini mwisho wake utakuwa ni majuto na ukiamini katika Mungu wa kweli atakusaidia kimungu na mwisho wake utakuwa ni wa rehema. Kwa mfano wafanyabiashara nyingi wanaotumia nguvu za giza huwa yule aliyeshikilia hizo nguvu za giza akikosea mashariti au akafariki ghafla bila kurithisha hayo mahetani kwa mwingine biashara hata kama ni kubwa kiasi gani lazima iondoke naye and sometimes hayo mashetani huweza kuwazuru watu wa karibu yake e.g mke na watoto. Believe in True God, he will lead you to success with very simple conditions-Prayers, Repentence & Forgiveness nje ya hapo utakuwa mtumwa wa shetani siku zote
 
Ni imani kwamba watafanikiwa zaid. Mara nyingi huwa na uhusiano na ushirikina. Hata hivo nadhani kuna dini fulani ina imani za kutumia udi na marashi...

Wahindu (tumezoea kuwaita BANIANI) hii ni sehemu ya mambo ya ibada zao za kidini
 
imani ya udi ni kuleta mvuto na na harufu nzuri! sasa sio kila mtu anapenda harfu ya udi, ni sawa na wewe unapulizia perfume kuna kila aina ya perfume na si kila mtu anapenda hiyo perfume, na imani ya perfume pia nikuleta mvuto na imani ya kunukia vizuri. udi umekaaa kiarabu zaidi na perfume zimekaa kizungu zaidi! hazina tofuti hizi kitu, udi kwa kuwa uko kiarabu zaidi na watu wa pwani wnapenda kuutumia kwakuwa ni natural na hauna madhara na perfume si natural zaidi na ina mazara zaidi. sasa kwakuwa watu wanachuki na watu wenye asili hii ya udi ndo mana wanaropoka mabaya na kwa kukuwa wanawatukuza watu wenye asili hii ya perfume ndo mana wanazidhamini sana bila kugundua kuwa zina wazuru. KWA kifupi hata hizo perfume tunazpulizia pia zinakaribisha mashetani na madudu mengine ya ajabu kwani unapopulizia perfume flani kuna zinazofanya upatwe na hisia za kimwili na kuvutiwa na mtu husika sasa hii kitu ni tabia ya shetani ambaye amekariishwa na harufu hiyo kwa ajili ya kuwarubuni wawili nyie, hata hizi airfresh nazo niko kama udi,perfume. hii ni ishu ya utamaduni na asilia ya kimanukato zaidi yankotokea. sasa kama mtu wewe unakereka na udi basi usiingie dukani hapo wewe nenda maduka mengine yamejaa mengi tu, na hata kama hayo mengine unayoenda utakuta unafanya bishara na mtu aliye uchi bila wewe kumuona, au amechimbia mavitu yake humo dukani isiyoyaona, kwa kifupi ushirikiana hauna dini! bali asilimia 99 ya dunia hii watu wanaushirikina, HATA WEWE ULIETUPIA HUU UDHI NINAUHAKIKA USHIRIKINA UNAO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE, tusidanganyane dunia ya sasa inaendeshwa kishirikina mana hata hao tunaowaamini katika imani zetu za dini kuwa ni viongozi, ndio washirikina namba 1.


Mkuu, umezungumza vizuri ila hapo kwenye red ndo umechafua kabisa. Anyways, inawezekana wewe ni mshirikina ndo maana unaamini 99% ya dunia pia ni washirikina. lakini si kweli.
Ukweli ni kwamba udi ni kwa aijri ya harufu nzuri tu, kama ilivyo kwa perfumes, ila naona kuna watu wamekaa kimtazamo wa kiimani zaidi ndo maana wanuhusisha udi na dini fulani hivi. Inawezekana mtu akautumia kwa malengo mengine kama mtu anavyotumia kisu kuua wakati ni kwa ajiri ya kukatia nyama/nyanya/vitunguu au klorokwini kujiua badala ya kuitumia kujititibia.



 
....................dini fulani ! funguka na ulete ushahidi ! kwani wale wakina mama wanaojifukizia udi chini ya mapaja ni kwa ajili ya nini ? na wale wanajipaka vitu makwapani huwa ni kuwasaidia nini ?

Buddha huwa wanawasha udi especially wakiwa wanatoa heshima ya mwisho kwa mtu aliyefariki au wakiwa wanawaplease miungu yao
 
=uchawi=ushirikina=misukule

MIE NIKIFIKA DUKANI NIKASIKIA UDI UMEWASHWA HUWA NA MPIGA SHETANI CHENGA NAENDZ DUKA LINGINE
 
Ukipita sehemu nyingi hususani za biashara. Utasikia,harufu ya udi kwenye baadh ya maduka hayo japokuwa si maduka yote. Je kuna faida gani inayopatikana pindi utakapowasha udi katika biashara yako au nyumbani kwako?

Mkuu ni sababu za ushirikina, ni kwamba majini ya uhusiano mkubwa na harufu fulani fulani.... Udi ni mojawapo kuwantract, kuwapoza nk. matumizi makubwa katika shughuli hizi ni UDI na UBANI! ni ushirikina tuu!!
 
Back
Top Bottom