Kwanini baadhi ya watu huchelewa kuoa?

Kwanini baadhi ya watu huchelewa kuoa?

kwa mtizamo vijana wengi tunahofia sana maisha hususan miaka ya karibun vijana hawataki kuoa wanahitaji kuishi kishkaji kwisha me ukiniuliza nitaoa ni changamoto mpaka nikae sawa kimaisha ila hili swala halihusiani na mambo ya kidini
 
Kusomana tabia mkiwa wapi? Na kwa mda gani?
JF EXPERT MEMBER, to argue with <JF MEMBER>! nakuwa kama nakosea.hujafikisha umri wa kubalehe ndani ya jf!
arguing with a fool,proves there are two!
 
JF EXPERT MEMBER, to argue with <JF MEMBER>! nakuwa kama nakosea.hujafikisha umri wa kubalehe ndani ya jf!
arguing with a fool,proves there are two!
Shule muhimu@mie mvuvi sikuelewi chief nilipata leaving certificate tu tena kwa mbinde mda mwingi nilitumia pwani...
 
Huwa najiuliza peke yangu sipati majibu...???????????

Kwanini wenzetu wa imani ile........ wanachelewa sana kuoa?

Unakuta wachumba wanakaa nyumba1..wanazaa hadi watoto by 35+ ndio ndoa hufuata ni kwanini?
Kuna 7bu nyingi

Kwanza wengi wetu tunakuwa bado hatujajipanga kimaisha... Mambo ya kazi ukioa uweze kumtunza mkeo vema...kutoa huduma zote kama baba(food..shelter and clothes)

Pia akili ya kuwa baba wa familia inakuwa bado..Hapa unaweza kuwa una kazi unapesa lkn akili bado haijakomaa ya kubeba majukumu ya kuwa baba au mzazi...Tabia flan flan bado unazo..

Umri pia kuna wakati unaweza kuchekewa kuoa kutokana na umri kuwa tatizo..Japo hapa inategemea na mtu anayochukulia suala la umri...

Kutendwa ktk mahusiano...kuna wengi humu yamewahi kutukuta, unampenda mtu unawekeza muda wako mara nyingine unamuhudumia kwa vingi lkn mwisho unaishia kuumizwa tu.....So kuna wengine zaidi ya mara 3 wameishia kuumizwa au hata mara moja ila inatokana na mtu anavochukulia hilo suala..So anaamua afanye mambo yake mengine na kuoa kuweka pembeni zaidi kudate date na ladies wengi tu au wengine wanatulia..
 
Ukristo una complications sana katika kuoa
Yaani ukiwaza tu gharama unaairisha
Wakianza mara mahari 6mlns, hela ya bibi, shangazi n.k
Shela, shereh yenyew

Hii mifumo ni ya kifisadi haina tofauti na serikali ya ccm
Haiwezekani wanandoa wanaotegemea kuyaanza maisha, hawana kitu hao hao ndo wanatoa hela nyingi ( mahari) kwa wana ndoa wazoefu
Tuipigie kelele, huu utamaduni mbovu.
 
Ukristo una complications sana katika kuoa
Yaani ukiwaza tu gharama unaairisha
Wakianza mara mahari 6mlns, hela ya bibi, shangazi n.k
Shela, shereh yenyew

Hii mifumo ni ya kifisadi haina tofauti na serikali ya ccm
Haiwezekani wanandoa wanaotegemea kuyaanza maisha, hawana kitu hao hao ndo wanatoa hela nyingi ( mahari) kwa wana ndoa wazoefu
Tuipigie kelele, huu utamaduni mbovu.
Point. Yani unakuwa kama unamnunua huyo mke...
 
Point. Yani unakuwa kama unamnunua huyo mke...
Poleni sana aise Pia nawahurumia sana,rafiki yangu wa karibu anataka kuoa bt mke wake hataki bila sherehe....
Mbaya zaidi hana uwezo wa kuandaa sherehe....
 
Back
Top Bottom