Kwanini baadhi ya watu huchelewa kuoa?

Kwanini baadhi ya watu huchelewa kuoa?

Uwa najiuliza peke yangu sipati majibu...???????????
Kwann wenzetu wa imani ile........ wanachelewa sana kuoa...unakuta wachumba wanakaa nyumba1..wanazaa hadi watoto by 35+ ndio ndoa ufuata ni kwann?
Wanabariki ndoa baada ya kuzaa watoto6.
 
mimi Muslim lakini kuoa mapema
bila ya kujiandaa na maisha ..hapana aiseeee
Sawa mkuu nakubali@ hoja yangu ya msingi kwa nn ukae nae nyumba1 kama umeoa pia mzae watoto3 baadae ndio unaoa...
 
Sasa hapa umeniomba radhi au umeendelea kunisema?
Ingependeza km ungejibu hoja ya msingi km ningekuwa nimetoa kashfa Mods jamii forum wako makini sana@ wangefuta Uzi faster
 
Ukiambiwa umechelewa kuoa umechafuliwa? Basi samahani mkuu kikubwa jibu hoja tu....
Wee nae unamuogopa mtu kisa nini, kuna uchokozi gani?
Umeuliza ili ujue mtu anakujibu kwa kukupeleka nawe unapelekwa!

Binafsi najiuliza swali kama lako.
 
Wee nae unamuogopa mtu kisa nini, kuna uchokozi gani?
Umeuliza ili ujue mtu anakujibu kwa kukupeleka nawe unapelekwa!

Binafsi najiuliza swali kama lako.
Sio kila statement inamaanishwa@ anatakiwa kujibu hoja ya msingi @ nahisi ye yumo kwenye ilo kundi ndio maana anapovuka sana
 
Ndoa sio sawa na bodaboda kuwa utapanda na kushuka, ukipata mke mwema,utaina paradiso hapa hapa duniani, ukikosea kupata bora mke! jehanam ya kuzimu ina ahueni! ni muhimu kusomana tabia kwa muda. they say bora uchelewe lakini ufike salama!
 
Ndoa sio sawa na bodaboda kuwa utapanda na kushuka, ukipata mke mwema,utaina paradiso hapa hapa duniani, ukikosea kupata bora mke! jehanam ya kuzimu ina ahueni! ni muhimu kusomana tabia kwa muda. they say bora uchelewe lakini ufike salama!
Kusomana tabia mkiwa wapi? Na kwa mda gani?
 
Back
Top Bottom