Kijana wacha ujinga, jiulize tu.....huyo Mungu alikushukia lini na kukukataza wewe kula nguruwe? Usipende kusikiliza hadithi zilizotungwa na watu kwenye vitabu kutishia wenzao, kama Mungu hataki wewe ule nguruwe, believe me atakushukia wewe na kukuonya ila HAWEZI kumshukia mzungu au mwarab na kuwaambia nenda kamuonye
baby zu asile nguruwe. Tumia akili zako, dini ni usanii tu, zimewekwa kwa ajili ya kutawala binadamu na ndiyo maana unaona waumini wengi ni masikini na wajinga.