PICHA: Nifanyeje ili kuacha Kitimoto kama dini yangu inavyonikataza?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

20230222_134945.jpg
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.


Alafu sasa kitimoto haitaki ufundi mwingi! Sijui kitungu swaumu, sijui tangawizi acha kabisa hii chakula
 
Nimesemwa sana na familia, nimesemwa sana na mke wangu, Msikitini wananisema sana na kunitenga kisa tu mimi mtafunaji mzuri sana wa nyama ya nguruwe [Kitimoto].

Kitimoto ni nyama tamu na pendwa sana duniani kote. Ikiwa kavu ni tamu sana, ikiwa choma ndo kabisa, na ikiwa rosti kwa ugali ni mubashara kabisa ukiwa na beer mbili tatu pembeni.

Si mimi tu, wapo pia wenzangu kibao wanatafuna vyema sana hii kitu. Fresh kabisa.

Tuache nongwa jamani.

... pombe (beer) ni haramu kuliko nguruwe; elewa hilo kwanza.
 
Back
Top Bottom