Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Status
Not open for further replies.
Suala la Pope kutamani mabikra sidhani km litanishangaza mimi.
Manake yule mzee alikuwa hana mke TUNAEMFAHAMU sisi!
Na kama alikuwanae basi alikuwa wa kuficha kobis! Anagonga halafu anarudi kumuimbia yesu!
Sasa wazee km wale akiambiwa kuna mabikra wa kufa mtu huko peponi basi LZM akili imkorogeke kidogo!

We unadhani kuna MWANAMME ALIEKAMILIKA KACHUKIA WANAWAKE WAZURI??

Afanyae hivyo ujue sio rizki n mfano wa hao wasio rizki ni km huyo padri matumbo na wenzake!
Midume mikuuubwa lkn haina mke mpaka leo! Sasa hio si hatari ya kuchafua taifa??

inaruhusiwa kusilimu kwa sirisiri afu ukawa muislam!
 
Last edited by a moderator:
makkah-muslims-only-sign.jpg

Inamaana wanaishi kwa segregation huko? Kuna mitaa ya wakristo na waislamu?
 
inaruhusiwa kusilimu kwa sirisiri afu ukawa muislam!

Ndio.
Kama unahofia mambo fulani unaweza kusilimu kisirisiri na Ukawa muislamu kama wengine.
Na ukaendelea ku pretend kuwa mkristo lkn wewe ni muislamu.
Mpa ufike wakati muwafaka wa kujitangaza rasmj kuwa wewe ni MUISLAMU.

Karibu ktk njia ya Haki ndugu, wala usiogope.
Huku hatutumbukizani kwenye maji! Wala nini.
Huku ukikubali tu kuwa MUNGU NI MMOJA na Muhammad na Yesu ni mitume wake, WEWE UNAKUWA MUISLAMU TAYARI.
 
Ndio.
Kama unahofia mambo fulani unaweza kusilimu kisirisiri na Ukawa muislamu kama wengine.
Na ukaendelea ku pretend kuwa mkristo lkn wewe ni muislamu.
Mpa ufike wakati muwafaka wa kujitangaza rasmj kuwa wewe ni MUISLAMU.

Karibu ktk njia ya Haki ndugu, wala usiogope.
Huku hatutumbukizani kwenye maji! Wala nini.
Huku ukikubali tu kuwa MUNGU NI MMOJA na Muhammad na Yesu ni mitume wake, WEWE UNAKUWA MUISLAMU TAYARI.

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
 
Inamaana wanaishi kwa segregation huko? Kuna mitaa ya wakristo na waislamu?

Surat Al Maida 51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
 
Sasa onesha kuwa Jews na Christians si marafiki.

Halafu tueleze, jee, ni marafiki wa Uislam hao?

Hata post zako humu zinauonesha urafiki wako kwa Waislam na mapenzi yako kwa Uislam, au sio?

Hapo ndipo utapojuwa muujiza wa Qur'an.

Surat Al Maida 51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

ALLAH WENU ANACHONGANISHA WATU
 
Duh! wewe punguani kweli kweli, jisomee bila kuchakuwa:

Qur'an 14:4. Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Mwenyezi Mungu humuacha akapotea amtakaye, na akamwongoa amtakaye. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Na hiyo aya ndio unatufafanulia kwanini Papa anaenda msikitini kusali na Waislam au sio?

Kumibatizeni na kutoa Masheitwan mnayo fuga.

Alafu hiyo ni VERSION YA NGAPI YA KITABU CHENU CHENYE SHAKA

[h=3]The 20 Versions of the Qur'an today. (7 are recorded in th[/h]
 
Ndio.
Kama unahofia mambo fulani unaweza kusilimu kisirisiri na Ukawa muislamu kama wengine.
Na ukaendelea ku pretend kuwa mkristo lkn wewe ni muislamu.
Mpa ufike wakati muwafaka wa kujitangaza rasmj kuwa wewe ni MUISLAMU.

Karibu ktk njia ya Haki ndugu, wala usiogope.
Huku hatutumbukizani kwenye maji! Wala nini.
Huku ukikubali tu kuwa MUNGU NI MMOJA na Muhammad na Yesu ni mitume wake, WEWE UNAKUWA MUISLAMU TAYARI.

Mimi nipo tayari,lakini naamini Mungu ni mmoja na Yesu Kristo aliyetumwa na Mungu,lakini muhamadi simkubali hata tone,je,mnaweza kunipokea kwenye uislamu
 
Unakaribishwa tu! Karibu ktk Uongofu.
Huyo muhammad utamjua polepole!

Wako wengi kama wewe walikuwa hivo hivo lkn ss hivi ni waislamu safi kabisa.
 
Ndugu wana JF.Ningependa kupata ufafanuzi kwa wale wanaojua kwamba kwanini Papa huingiaga msikitini ilhali yeye sio muislam na ukizingatia kwamba waislam hawaruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini???

Kama katika historia ni Papa mmoja tu tena mara moja tu aliwahi kuingia msikitini kwa ni ni wewe una-generalize kuwa papa huwa anaingiaga msikitini? Huu ni upotoshaji.
 
Hata huyu mungu tunaye mdhania yupo atakuwa anatushangaa sana kwani si wote ni ndugu watatp wa baba mmoja kwenda kushiriki na ndugu zako wa imani nyingine si suala hata kisogo.
 
Kama katika historia ni Papa mmoja tu tena mara moja tu aliwahi kuingia msikitini kwa ni ni wewe una-generalize kuwa papa huwa anaingiaga msikitini? Huu ni upotoshaji.

Sio mmoja tu alieingia mkuu Paul II aliingia na Benedict
 
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.

Mkuu naomba iandike kwa kiingereza kama una quran ya kiingereza.
 
Anaswali kificho msikitini na pia anaujua ukweli wa Islam na anajua uongo wa dini nyengine
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom