Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

Status
Not open for further replies.

Albosignathus

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,898
Reaction score
1,051
Ndugu wana JF.Ningependa kupata ufafanuzi kwa wale wanaojua kwamba kwanini Papa huingiaga msikitini ilhali yeye sio muislam na ukizingatia kwamba waislam hawaruhusu mtu yeyote asie muislam kuingia msikitini???
 
sheikh naye ruksa kuingiaa kanisani mbona.....wenyewe tu wana gwaya
 
Nikwamba kuna sehemu ambayo ni ya kihistoria kwetu wakristo ambapo msikiti umejengw juu yake. So ukitaka kuhiji hiyo sehemu nilazima uingie msikitini. Pope alienda kuhiji huko.
 
Mkuu mimi na ukoo wangu wote ni ANT CCM tena kwetu kuna bendera na baba mzazi ndio mwenyekiti wa chama flani pinzani mkoa wa DAR.
Samahani mkuu tuko pamoja.lakini swala la papa hata wewe unaweza halikwa na mwislam kwake.
 
sheikh naye ruksa kuingiaa kanisani mbona.....wenyewe tu wana gwaya

Mkuu kanisani ni kwa ajili ya wote ila msikitini si unajua lazima uwe muislam,sasa nashangaa papa yeye aliruhusia akaingia na akapiga dua na waislam japo sio muislam.
 
mmmh mbona msikitini kuingia hamna kizuizi aisee kila mtu anaweza ingia tu msikitini aisee
 
Tofautisha msikiti na Synagogue.Papa hakuingia msikitini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom