money bag
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 373
- 298
Tunazungumzia hizo silaha kwenye mikutano ya siasa ambako hakuna majambazi. Ni mjinga gani anayetaka Askari Polisi aende kupambana na majambazi akiwa na Bakora mkononi?
Hahahaha kwny mikutano ya hadhara sijajua utaratibu wao waliojiwekea. Ila wabebe tu hujui muda wa saaa masasi yatarindima