Dusty Foot
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 228
- 300
Niliwaona juzi pale mwenge wameshika yale mabunduki ya vita vya kwanza vya dunia yenye kutumia gun powder na mkisu mkubwa mbele...nikasema ok wanatuzoesha taratibuu tu hadi kwenye majegeja na vifaru..!!