Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,200
- 12,692
Rais anajua nini kuhusu masuala ya sheria na adhabu? Rais anataka kuonekana mwema kwa raia wake, na rais anayenyonga hawezi angaliwa vizuri sana. So rais anayejielewa hawezi kunyonga mtu. Kwanini mahakama ikisema isiwe mwisho kama zilivyo adhabu nyingine?
Kuna ulazima gani wa Rais kupitisha adhabu ya kunyongwa?
Kuna ulazima gani wa Rais kupitisha adhabu ya kunyongwa?