intelinside
JF-Expert Member
- May 21, 2015
- 300
- 394
Habari wanajamvi!
Binafsi ni msomaji mzuri ila ni mchangiaji finyu wa mada za humu majukwaani, lakini hichi kimachoendelea kuhusu Max, co-founder wa huu mtandao maridhawa na unaohitajika sana nasi, kwa kweli imeniumiza sana, sina budi kushiriki mtazamo wangu na kuomba kueleweshwa zaidi.
Mimi sio mwanasheria, ila wanasheria na wajuvi wa mambo hayo mtanisaidia kwenye hili. Minavyofahamu kwa elimu yangu ndogo niliyonayo ni kwamba kampuni (mfano jamii media imayomiliki mtandao huu jf) kama entity huwa ni kama mtu yani kampuni yenyewe ni artificial being ambayo huzaliwa kisheria inapewa jina kisheria inaishi na kifanya shughuli zake kisheria na inaweza kufa kisheria, hivyo basi ikikosea kisheria pia kampuni hushitakiwa kisheria ndio maana kwenye makampuni kuna legal officers
Sasa swali langu kwa nini hii issue inaonekana kuwa ya personal sana mpaka anashitakiwa Max badala ya Jamii Media company?
Sina details sana, lakini mtakubaliana na mimi kwamba Microsoft ikikosea na ikashitakiwa huwezi ona Bill gates ndio anakamtwa na kiwekwa lumande, au mfano ile dispute ya Apple na Samsung, sikuona mtu anawekwa rumamde pale, ila wanasheria tu ndio wanabishana vizimbani.
Kwa nini Max amekamtwa na kushatikiwa, hata charges za kuizia sijui polisi kifanya upelelezi kwa kanini kapewa yeye badala hizo charges ziende kwa kampuni? Yes he is one of founders does that mean jf is his personal blog? And not owned by a Jamii Media company?
Nisaidieni wadau kielewa hili...
Na kweli, serikali iwe na utu na icheze karata zake smart... Kinachoendelea sio fair kwa max, sio fair kwa watuamiaji wa mitandao, sio fair kwa watanzania, na sio fair kwa taifa zima.
[HASHTAG]#freemax[/HASHTAG]
Binafsi ni msomaji mzuri ila ni mchangiaji finyu wa mada za humu majukwaani, lakini hichi kimachoendelea kuhusu Max, co-founder wa huu mtandao maridhawa na unaohitajika sana nasi, kwa kweli imeniumiza sana, sina budi kushiriki mtazamo wangu na kuomba kueleweshwa zaidi.
Mimi sio mwanasheria, ila wanasheria na wajuvi wa mambo hayo mtanisaidia kwenye hili. Minavyofahamu kwa elimu yangu ndogo niliyonayo ni kwamba kampuni (mfano jamii media imayomiliki mtandao huu jf) kama entity huwa ni kama mtu yani kampuni yenyewe ni artificial being ambayo huzaliwa kisheria inapewa jina kisheria inaishi na kifanya shughuli zake kisheria na inaweza kufa kisheria, hivyo basi ikikosea kisheria pia kampuni hushitakiwa kisheria ndio maana kwenye makampuni kuna legal officers
Sasa swali langu kwa nini hii issue inaonekana kuwa ya personal sana mpaka anashitakiwa Max badala ya Jamii Media company?
Sina details sana, lakini mtakubaliana na mimi kwamba Microsoft ikikosea na ikashitakiwa huwezi ona Bill gates ndio anakamtwa na kiwekwa lumande, au mfano ile dispute ya Apple na Samsung, sikuona mtu anawekwa rumamde pale, ila wanasheria tu ndio wanabishana vizimbani.
Kwa nini Max amekamtwa na kushatikiwa, hata charges za kuizia sijui polisi kifanya upelelezi kwa kanini kapewa yeye badala hizo charges ziende kwa kampuni? Yes he is one of founders does that mean jf is his personal blog? And not owned by a Jamii Media company?
Nisaidieni wadau kielewa hili...
Na kweli, serikali iwe na utu na icheze karata zake smart... Kinachoendelea sio fair kwa max, sio fair kwa watuamiaji wa mitandao, sio fair kwa watanzania, na sio fair kwa taifa zima.
[HASHTAG]#freemax[/HASHTAG]