Kwanini ameshtakiwa Max badala ya kushtakiwa kampuni?

intelinside

JF-Expert Member
May 21, 2015
300
394
Habari wanajamvi!

Binafsi ni msomaji mzuri ila ni mchangiaji finyu wa mada za humu majukwaani, lakini hichi kimachoendelea kuhusu Max, co-founder wa huu mtandao maridhawa na unaohitajika sana nasi, kwa kweli imeniumiza sana, sina budi kushiriki mtazamo wangu na kuomba kueleweshwa zaidi.

Mimi sio mwanasheria, ila wanasheria na wajuvi wa mambo hayo mtanisaidia kwenye hili. Minavyofahamu kwa elimu yangu ndogo niliyonayo ni kwamba kampuni (mfano jamii media imayomiliki mtandao huu jf) kama entity huwa ni kama mtu yani kampuni yenyewe ni artificial being ambayo huzaliwa kisheria inapewa jina kisheria inaishi na kifanya shughuli zake kisheria na inaweza kufa kisheria, hivyo basi ikikosea kisheria pia kampuni hushitakiwa kisheria ndio maana kwenye makampuni kuna legal officers

Sasa swali langu kwa nini hii issue inaonekana kuwa ya personal sana mpaka anashitakiwa Max badala ya Jamii Media company?

Sina details sana, lakini mtakubaliana na mimi kwamba Microsoft ikikosea na ikashitakiwa huwezi ona Bill gates ndio anakamtwa na kiwekwa lumande, au mfano ile dispute ya Apple na Samsung, sikuona mtu anawekwa rumamde pale, ila wanasheria tu ndio wanabishana vizimbani.

Kwa nini Max amekamtwa na kushatikiwa, hata charges za kuizia sijui polisi kifanya upelelezi kwa kanini kapewa yeye badala hizo charges ziende kwa kampuni? Yes he is one of founders does that mean jf is his personal blog? And not owned by a Jamii Media company?

Nisaidieni wadau kielewa hili...

Na kweli, serikali iwe na utu na icheze karata zake smart... Kinachoendelea sio fair kwa max, sio fair kwa watuamiaji wa mitandao, sio fair kwa watanzania, na sio fair kwa taifa zima.

[HASHTAG]#freemax[/HASHTAG]
 
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]
 
Habari wanajamvi!

Binafsi ni msomaji mzuri ila ni mchangiaji finyu wa mada za humu majukwaani, lakini hichi kimachoendelea kuhusu Max, co-founder wa huu mtandao maridhawa na unaohitajika sana nasi, kwa kweli imeniumiza sana, sina budi kushiriki mtazamo wangu na kuomba kueleweshwa zaidi.

Mimi sio mwanasheria, ila wanasheria na wajuvi wa mambo hayo mtanisaidia kwenye hili. Minavyofahamu kwa elimu yangu ndogo niliyonayo ni kwamba kampuni (mfano jamii media imayomiliki mtandao huu jf) kama entity huwa ni kama mtu yani kampuni yenyewe ni artificial being ambayo huzaliwa kisheria inapewa jina kisheria inaishi na kifanya shughuli zake kisheria na inaweza kufa kisheria, hivyo basi ikikosea kisheria pia kampuni hushitakiwa kisheria ndio maana kwenye makampuni kuna legal officers

Sasa swali langu kwa nini hii issue inaonekana kuwa ya personal sana mpaka anashitakiwa Max badala ya Jamii Media company?

Sina details sana, lakini mtakubaliana na mimi kwamba Microsoft ikikosea na ikashitakiwa huwezi ona Bill gates ndio anakamtwa na kiwekwa lumande, au mfano ile dispute ya Apple na Samsung, sikuona mtu anawekwa rumamde pale, ila wanasheria tu ndio wanabishana vizimbani.

Kwa nini Max amekamtwa na kushatikiwa, hata charges za kuizia sijui polisi kifanya upelelezi kwa kanini kapewa yeye badala hizo charges ziende kwa kampuni? Yes he is one of founders does that mean jf is his personal blog? And not owned by a Jamii Media company?

Nisaidieni wadau kielewa hili...

Na kweli, serikali iwe na utu na icheze karata zake smart... Kinachoendelea sio fair kwa max, sio fair kwa watuamiaji wa mitandao, sio fair kwa watanzania, na sio fair kwa taifa zima.

[HASHTAG]#freemax[/HASHTAG]
Nami pia nina hamu sana ya kulijua hili.
 
At times, the law requires that a veil of incorporation to be lifted so as to prosecute individual persons rather than a company. For media cases, instead of a journalist its an editor who is prosecuted.
Nashukiru, Kama nimekuelewa vyema, let's assume max ni editor, of which kimsingi ninavyoelewa namna forums kama hii ilivyo, max na hata waajiliwa wa jamii media ni moderators tu, they are not the ones who posts these articles. Leave that aside, mbona charges alizopewa hazihusiani na uhariri?...
 
Hii ni Kesi ya Kisiasa sio ya Kisheria!

Huyu Kijana ni very Innocent hata ukimtazama tu!

Kiranja anatupwa Rumande kwa kuwa tu Kagoma kuwataja wapiga kelele Mistarini wakati Mkuu wa Shule anaouwezo wa kuwabaini hao wapiga Kelele bila ya Msaada wa Kiranja!
 
Hii ni Kesi ya Kisiasa sio ya Kisheria!

Huyu Kijana ni very Innocent hata ukimtazama tu!

Kiranja anatupwa Rumande kwa kuwa tu Kagoma kuwataja wapiga kelele Mistarini wakati Mkuu wa Shule anaouwezo wa kuwabaini hao wapiga Kelele bila ya Msaada wa Kiranja!
Kwahiyo Max mello ni mwanasiasa sio!
 
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]<br />[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]<br />[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]
 
Ni kwamba hii kesi inaendeshwa kibabe na haina misingi ya haki na sheria nyuma yake.

Hata ukiona hizo charges zilizowekwa ni za kitoto na hazina msingi wowote.

Hivi unakumbuka kuwa kuna kesi ambayo Jamii Media wameifungua kuhusu kulinda haki za watumiaji wake?

Mbona kesi bado inasikilizwa na mwingine anashitakiwa?

Hivi Max anamiliki Jamii Media peke yake? Mbona Mike hajapelekwa mahakamani?

Hii kesi ni mkono wa mtu ambaye yupo tayari kuvunja sheria ambazo anatakiwa kusimamia ili atimize matakwa yake.

[HASHTAG]#TyrantGovt[/HASHTAG].
 
It is hard in business to prosecute an individual in most cases duty is placed upon the organisation. To place someone with 'vicarious liability' the organisation has first to deny the charges and provide proof the act of the employee is against company policies and acted on their own interest.

Kwa vyevyote vile Max kisheria atakiwi kuwa mahakamani na wala sheria aikutakiwa kuanza na yeye kwa mazingira ya kesi.
 
It is hard in business to prosecute an individual in most cases duty is placed upon the organisation. To place someone with 'vicarious liability' the organisation has first to deny the charges and provide proof the act of the employee is against company policies and acted on their own interest.

Kwa vyevyote vile Max kisheria atakiwi kuwa mahakamani na wala sheria aikutakiwa kuanza na yeye kwa mazingira ya kesi.
Kweli kabisa, yani inasikitisha sana kuona nchi yangu inafanya haya.... Tena kwa wakati huu ambapo tunaamini serikali ima wasomi wengi..

Dah...
 
Max anaonewa tu. Kuna kipindi flani BRELA ilishindwa kutoa majina ya wamiliki wa nadhani RICHMOND au KAGODA. Sina uhakika kama kuna watu walitupwa ndani kushinikiza warelease majina yale.
 
Back
Top Bottom