Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,976
- 3,738
- Thread starter
- #21
COcaine na heroin vina hela nyingi sana ukifananisha hizo bangi na mirungi.Hizi bangi na mirungi huzioni? Ongeza na tumbaku
COcaine na heroin vina hela nyingi sana ukifananisha hizo bangi na mirungi.Hizi bangi na mirungi huzioni? Ongeza na tumbaku
Pombe ni madawa yenye nguvu sana, hayajaangamiza taifa, bado.Sina cha kukujibu, huko ni kuangamiza taifa.
Sisi hatuna ubavu wa kuwa soko la cocaine na heroin. Zile siyo ugoro.Tokea lini soko likazalisha matikiti?
Unaifahamu Vita ya Kasumba(Opium War)?Nimeishia hapo kwenye jina la mleta mada Wakili wa shetani
Cocaine na heroin siyo kazi kuextract kama kutengeneza mafentanyl. Ni kama uchakataji wa mitishamba tu.Panadol yenyewe kuitengeneza ndan ya nchi imechukua makum ya miaka . Ndio tutaweza kutengeneza highly classfied medicine kama jamii ya Fentanyl.
Mimea yenye vilevi mbadala ipo sema tafiti na projects kama hizo hazijapewa kipaumbele na serikal au taasisi binafsi kwa Africa.
Colombia na Venezuela. Cocaine na heroine.
Serikali ina sheria za kukataza . Ila bado biashara inafanyika ndan na nje ya nchi.
Akili za kuzwlisha haya madawa ipo sasa?Afghanstan wanapata mabilioni ya dola kwa kuuza heroin(Kasumba/afyuni🤣). Nchi za South America zinapiga mabilioni kwa kuuza cocaine. Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
COcaine na heroin vina hela nyingi sana ukifananisha hizo bangi na mirungi.
Hio law uliisomea Devils University pale au uwakili uliipata ukiwa Devils School of Law?Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
Point yako ni valid. Ila fahamu hata bangi na tumbaku havina asili ya Afrika. Na Afrika ipo aina fulani ya Coca ni ya asili na madawa mengine mengi yanayoweza kuchakatwa. Lakini mwisho wa siku cocaine na heroin zimeishajiestablish sokoni. Ni rahisi kuanza nazo hizo. Mazingira ya Afrika yanaruhusu.You didnt get my point.
Mimea ya jamii ya Coca plant haziko Africa.
Kule Colombia coca plant pia unatumika kama dawa za asili na wengne hutumia kwenye kuweka kwenye maji ya moto ili iwe chai. Ikisindikwa ndio inakuwa balaa.
Africa tuna mimea kilevi mbadala ya aina hiyo ila why hatujaweza kuchakata ikatokea kama Cocaine?.
Tunaishia kutengeneza bang. Mirungi na sonyo.
Nina uhahika tafiti ikifanyika tunaweza pata mimeo kilevi na ikawa mbadala ya hizo cocain na heroine. Sio kila kitu kikitoka kwao ndio kiwe na thaman.
Inawezekana Bangi na mirung wakifanyia utafit na kuongeza kiwango cha uchakatishaj na muunganiko wa mimea vilev. Itakuwa na thaman pia.
Mirungi ni nini?
Mgalatia hakuna la maana anaweza kufanya zaidi ya kudai ana maji ya upako au mchanga wa upako au yesu kamtembelea na ana dawa ya kusamehe madhambi.Ndio hatuzalishi lakini wanaofaidika kwenye hii biashara ni waislamu ndo maana wanaongoza kwa utajiri nchini.
Pakome gallow bird Malaria 2 kahtaan THE BIG SHOW
adriz de mbusii