Kwanini Afrika hatuzalishi dawa za kulevya?

Kwanini Afrika hatuzalishi dawa za kulevya?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,962
Reaction score
3,728
Afghanstan wanapata mabilioni ya dola kwa kuuza heroin(Kasumba/afyuni🤣). Nchi za South America zinapiga mabilioni kwa kuuza cocaine. Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
 
Afghanstan wanapata mabilioni ya dola kwa kuuza heroin(Kasumba/afyuni🤣). Nchi za South America zinapiga mabilioni kwa kuuza cocaine. Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
Jana nilikua naangalia documentary moja inahusu Sinaloa drug Cartel Mexico huko. Sasa jamaa walikuwa wanaonyesha namna mmea wa Opium unavyolimwa kisha kuvunwa, kuchakatwa hadi product inapatikana.

Wakati naangalia yale mazingira inapolimwa Opium nikawaza hivi kibongo bongo hii kitu haiwezekani?
Jamaa ukisikia tathmini yao juu ya faida wanayopata utasema huu ndio mchongo, jichanganye uone.
 
1. Mimea inayotengeneza aina hizo za kilevi hazipatikan Africa.
2. Technologia duni ya uchakatishaj wa mitishamba inayotoa vimelea vya ulevi mbadala.

Tumeishia kwenye kusokota bangi sonyo mirung na tumbaku. Na kutengeneza Gongo.

Ila nadhan kuna mimea mbadala inayotoa vimelea vya vilevi kama ilivyo mmea wa Bang ipo Africa pia. Ila namna ya uchakata na uunganishaji ili bidhaa iwe bora zaid ndio bado hatujaweza.

Kuna mti mdogo mdogo naujua unatoa maua meupe. Yale maua ukiyasaga na kunusa unasikia wenge la usingizi. Kama nusu kaput flan hivi. Nina amin ikiwekwa kwa viwango na kuchanganya na mimea mingne itayotoa kilevi basi itaenda kuhadaa/kuupa stim na kulevya ubongo .
 
Afghanstan wanapata mabilioni ya dola kwa kuuza heroin(Kasumba/afyuni🤣). Nchi za South America zinapiga mabilioni kwa kuuza cocaine. Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
Umetoa wazo zuri sana.
Kama uko huko Afghanstan au Colombia, fanya utuletee mbegu basi huku Afrika ili tuanze kulima. Anza kutuletea mimea ya coke ili tuzalishe Cocaine kwa wingi, na pia soda za jamii ya Coca cola.
 
Afghanstan wanapata mabilioni ya dola kwa kuuza heroin(Kasumba/afyuni🤣). Nchi za South America zinapiga mabilioni kwa kuuza cocaine. Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
Nadhani hofu ni intelijensia za nje zikifahamu hili unless kuwepo na off site clandestine company yenye kupewa fedha na Financial Intelligence Unit ili kuzalisha na kuuza kwa siri sana pengine kuteka soko lote la Afrika mashariki na kusini.

Wengine watasema ni haramu, je mambo mangapi haramu tunafanya kwa sasa? Tunaiba kura (zaidi ya Trillion 1 imetumika kwenye election cycle nzima), tumetoa mikataba mibovu ya kifisadi n.k so tusijifanye watakatifu kwenye kuuza madawa huku tunahongwa kuruhusu uwindaji haramu n.k.

So it's an opportunity kijasusi zaidi. Nadhani hata North Korea inafanya hivyo na Russia ili kuhimili vikwazo vya kiuchumi.
 
Afghanstan wanapata mabilioni ya dola kwa kuuza heroin(Kasumba/afyuni🤣). Nchi za South America zinapiga mabilioni kwa kuuza cocaine. Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
Ndio hatuzalishi lakini wanaofaidika kwenye hii biashara ni waislamu ndo maana wanaongoza kwa utajiri nchini.

Pakome gallow bird Malaria 2 kahtaan THE BIG SHOW

adriz de mbusii
 
Afghanstan wanapata mabilioni ya dola kwa kuuza heroin(Kasumba/afyuni🤣). Nchi za South America zinapiga mabilioni kwa kuuza cocaine. Afrika kuna rushwa kali, waasi kila kona, serikali dhaifu, nchi kubwa kubwa, na hali ya hewa ya kufaa kabisa kuzalisha madawa. Tumekwama wapi kwenye hii sekta?
Arusha, Mara, Morogoro kote huko zinatoka bangi zinasifika nchi nzima, au siyo dawa la kulevya 🤣
 
Hivi nchi za Afrika kwenye masoko ya kuuzwa madawa ya kulevya zipo?
Hela tunayo?

Panadol yenyewe kuitengeneza ndan ya nchi imechukua makum ya miaka . Ndio tutaweza kutengeneza highly classfied medicine kama jamii ya Fentanyl.

Mimea yenye vilevi mbadala ipo sema tafiti na projects kama hizo hazijapewa kipaumbele na serikal au taasisi binafsi kwa Africa.

Colombia na Venezuela. Cocaine na heroine.
Serikali ina sheria za kukataza . Ila bado biashara inafanyika ndan na nje ya nchi.
 
Kwani bangi sio madawa ya kulevya kwenye sheria zenu.

Kuna mda mwengine naona kama unasahau

Kuruhusu Bangi TZ.

Inabidi tuanzie kuona mfano wa Kenya.
Kenya wameruhusu mirungi.
Ila Tanzania imekataza.

Sheria hizo zote 2 zinatakiwa kuangaliwa utofauti wake kwenye nyanja za kimaendeleo kiuchumi na kijamii ili kujua matokeo gani yameleta chanya.

Ila Binafsi waruhusu tu bangi ilimwe na itumike. Na iuzwe kibiashara.

Mikoan huko kumejaa Gongo. Inawekwa vizur kwenye vijichupa vidogo na inauzwa mia 5 na maisha yanaenda.
Bang pia itengenzwe na iweke vizur iuzwe kama sigara.
 
Kuruhusu Bangi TZ.

Inabidi tuanzie kuona mfano wa Kenya.
Kenya wameruhusu mirungi.
Ila Tanzania imekataza.

Sheria hizo zote 2 zinatakiwa kuangaliwa utofauti wake kwenye nyanja za kimaendeleo kiuchumi na kijamii ili kujua matokeo gani yameleta chanya.

Ila Binafsi waruhusu tu bangi ilimwe na itumike. Na iuzwe kibiashara.
Hata madawa ya hospital ni madawa ya kulevya unafahamu
 
Back
Top Bottom