Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,251
- 28,406
Kwahiyo mzoefu wa kuzaliwa! Hata hivyo wakalimani wapo miaka na miaka na siyo kama usemavyo siku hizi.Siku hizi Kuna Teknolojia nzuri ya kutafsiri/kalimani lugha ya Kiingereza kwenda kiswahili. Hivyo, Hiki si kigezo. Kigezo JM ni mzoefu na masuala haya!