Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania eti;
Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao?
Nilipokuwa ninamsaidia mdogo wangu kuomba mkopo wa elimu ya juu (HESLB) mwaka huu 2020 nilifanya online verification ya cheti cha kuzaliwa pamoja na cha kifo cha baba yake katika portal ya RITA. Home Page lakini academic certificates nikaenda kugongea mihuri katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
(1) Kwanini "Copies of Academic Cerificates" zinapigwa muhuri kwa wataalam wa sheria badala ya kupata verification ya taasisi husika ya elimu (zipigwe muhuri wa chuo husika kama ni UDSM, IFM, UDOM, IAA, CBE) ndio ziitwe certified.
(2) Kwanini vyeti vya kuzaliwa na kufa vinapata verification ya RITA badala ya kupigwa muhuri wa wataalam wa sheria pekee kama wafanyavyo kwa "academic cerificates"?
Kwanini hakuna Standard za vyuoni; Mafano Necta kuna standard Certificate ( Central verification) watahiniwa wote wanapata cheti kutoka mamlaka moja, kwanini vyeti vya vyuo vikuu vyote visitolewe na TCU?
Je, wale watumishi hewa waliotumbuliwa kwa kuwa na vyeti feki hawakupeleka vyeti vyao kwa wanasheria na vikagongwa mihuri?
Wataalam wa masuala haya kwanini kuna huu mkanganyiko, ninaomba ufafanuzi tafadhali wakuu.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu Watanzania eti;
Kwanini academic certificates zinafanyiwa verification kwa wataalam wa sheria badala ya taasisi husika ya elimu kama RITA wafanyavyo kwa vyeti vyao?
Nilipokuwa ninamsaidia mdogo wangu kuomba mkopo wa elimu ya juu (HESLB) mwaka huu 2020 nilifanya online verification ya cheti cha kuzaliwa pamoja na cha kifo cha baba yake katika portal ya RITA. Home Page lakini academic certificates nikaenda kugongea mihuri katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
(1) Kwanini "Copies of Academic Cerificates" zinapigwa muhuri kwa wataalam wa sheria badala ya kupata verification ya taasisi husika ya elimu (zipigwe muhuri wa chuo husika kama ni UDSM, IFM, UDOM, IAA, CBE) ndio ziitwe certified.
(2) Kwanini vyeti vya kuzaliwa na kufa vinapata verification ya RITA badala ya kupigwa muhuri wa wataalam wa sheria pekee kama wafanyavyo kwa "academic cerificates"?
Kwanini hakuna Standard za vyuoni; Mafano Necta kuna standard Certificate ( Central verification) watahiniwa wote wanapata cheti kutoka mamlaka moja, kwanini vyeti vya vyuo vikuu vyote visitolewe na TCU?
Je, wale watumishi hewa waliotumbuliwa kwa kuwa na vyeti feki hawakupeleka vyeti vyao kwa wanasheria na vikagongwa mihuri?
Wataalam wa masuala haya kwanini kuna huu mkanganyiko, ninaomba ufafanuzi tafadhali wakuu.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.