DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 421
- 648
Habari wanajamii wenzangu,
Baada ya salamu niwapeleke moja kwa moja kwenye hoja
Kuna hili swala ya kuthibitisha vyeti kwa kutiwa muhuri wa mwanasheria, vyeti hivyo ni kama;
(cheti cha kuzaliwa na vyeti vya elimu katika ngazi mbalimbali utakazo kuwa umepitia kama astashahada, stashahada, sekondari n.k)
utaratibu huu nimeshindwa kuuelewa na sioni umuhimu wake kwa sababu zifuatazo
#Kwanini visibitishe wakati vyeti hivyo tayari vina muhuri na saini za viongozi wa taasisi inayokutunuku cheti/vyeti hivyo.
Je taasisi hizo zimeshindwa kuaminika?
#Nguvu ya muhuri na saini za wasimamizi wa izo taasisi ni ipi kama vyeti bado vitahitaji kuthibitishwa
#Kama muhuri wa mwanasheria ni muhimu kwanini lisiusishwe moja kwa moja na mwanasheria wa taasisi inayokutunuku chetii
Karibuni tuelimishane kwa hoja katika hii dunia ya sayansi na teknolojia
Baada ya salamu niwapeleke moja kwa moja kwenye hoja
Kuna hili swala ya kuthibitisha vyeti kwa kutiwa muhuri wa mwanasheria, vyeti hivyo ni kama;
(cheti cha kuzaliwa na vyeti vya elimu katika ngazi mbalimbali utakazo kuwa umepitia kama astashahada, stashahada, sekondari n.k)
utaratibu huu nimeshindwa kuuelewa na sioni umuhimu wake kwa sababu zifuatazo
#Kwanini visibitishe wakati vyeti hivyo tayari vina muhuri na saini za viongozi wa taasisi inayokutunuku cheti/vyeti hivyo.
Je taasisi hizo zimeshindwa kuaminika?
#Nguvu ya muhuri na saini za wasimamizi wa izo taasisi ni ipi kama vyeti bado vitahitaji kuthibitishwa
#Kama muhuri wa mwanasheria ni muhimu kwanini lisiusishwe moja kwa moja na mwanasheria wa taasisi inayokutunuku chetii
Karibuni tuelimishane kwa hoja katika hii dunia ya sayansi na teknolojia