Kwani watu wengi wanapenda Masturbation?

Kwani watu wengi wanapenda Masturbation?

Umeipata wapi hiyo


Jina la id yako mie hoi
Kakende ahhha ulimaanisha nini
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha kibaologia zaid ni kwamba mtu anafanya masturbartion kwa sababu huwa may be anais raha zaid kutuliza mihemko yake kulko kukutana kimwl sababu mastabation mtu anaweza kufanya mda wowote
 
Na pia mastabation kwa utafit wa kiscience unaonesha haina madhara kwa mwili ya mtu
 
Utafiti unaonesha asilimia 95 ya wanaume wanafanya mastutbation,. 89% wanawake wanafanya masturbation.Pia asilimia 70 ya wanandoa wanafanya Masturbation. Pia wanawake 4 kati ya 10 wanapendelea masturbation kuliko kufanya mapenzi na mwanaume. Kwanini hali iko hivyo?

Huwa Ina Boost Mashine Kwa Shughuli Inayofuata Ya KUGEGEDA.
 
Unioe nifanye au ukafanye nyeto!!! Shabash utanipeleka kwetu
 
kuna vitu huwa vinafanywa kama majaribio, ghafla mtu anajikuta kwenye addiction ya kutoacha. Ni kama wahangwa wa madawa ya kulevya anatamani kuacha awe kama watu wengine ila anashindwa arosto inamtesa. the same to this
 
Masta inapigwa ili mtu aanzie cha pili maana hawa watoto wanaokuja getto kuanzia saa 11 alafu 12:30 jioni wanawahi kupika inabidi uanzie chq pili ili umfaidi. Sababu kubwa.
 
Back
Top Bottom