To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,209
- 65,805
Wake zenu,siyo wapenz wala wachumba, wake zenu yaani.
Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke. Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake. Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki, nguvu za kiume hupungua(stress). Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata, kimahesabu.
Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki, kila siku kusifia michepuko, kusifia mahousegirl, kusifia viuno vya wanaume wenzenu, wake zenu mnataka tuwatendee nn; ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu(Tulie kivulini)?
Amani ndiyo Nuru ya mafanikio kwa MTU yeyote awe mwanaume au mwanamke. Amani humpa nguvu mwanaume ya kuweza kupambana kutafuta pesa kwa ajili ya familia yake. Nyumba ikikosa amani tendo halifanyiki, nguvu za kiume hupungua(stress). Nyumba inakuwa kama jengo la Mahakama waingia kwa kunyata, kimahesabu.
Sasa kwa kuwa ndani hamueleweki, kila siku kusifia michepuko, kusifia mahousegirl, kusifia viuno vya wanaume wenzenu, wake zenu mnataka tuwatendee nn; ili tulipambanie life mpaka tufanikiwe pamoja na watoto wetu(Tulie kivulini)?