cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,409
- 137,014
yaan anavotamka sasa mie mbavu sina khaaaah.anasema..."ng'ooooombe hamnijuiiii"
yaan anavotamka sasa mie mbavu sina khaaaah.anasema..."ng'ooooombe hamnijuiiii"
Mwanya kama wa Sis wangu
"ng'oooooooombe hamnijuiiii" yaan huyu khaaaaah ana maliza hasira zote.yaani sichoki kumuona movies zake youtube,..............Mkojani uko buli buli, hapanaaaaaaaaaaaaaa chezea
Kila saa ukiwaona mtaani wanazunguka kurecord mda wote wanazungukaJamaa amekua too much... kwa siku anaweza kutoa clips kama tano na hakuna jipya anasema.. he needs to chill..
Kuna siku nilipanda basi kwenda Mwanza tumefika Morogoro wakaweka mkojani....ilibidi nishukie Morogoro Nitafute private ya mwanzaHuyu jamaa kusema kweli sijawahi kupenda picha sijui vichekesho vyake.
Sauti yake ndio inanichefua kabisa .
Ninazionaga kwenye mabasi nikiwa nasafiri,
Jamaa kwa mtazamo wangu sio muigizaji ana lazimisha fani
Watu wana masihara sana. Movie 2 ndani ya week.Yani movie kwa wiki?
Ulibanwa na jambo ukashindwa kuendelea na safari?Kuna siku nilipanda basi kwenda Mwanza tumefika Morogoro wakaweka mkojani....ilibidi nishukie Morogoro Nitafute private ya mwanza
Walivoweka mkojani nikabanwa kutapikaUlibanwa na jambo ukashindwa kuendelea na safari?
Ukiwa mtu wa kusafiri na ma bus ya mikoani huyo jamaa utamfahamu kwa lazima.😅Mkuu ni nani huyoo.. Simjui kabisa.
Picha tafadhali.
Namuonaga kwenye mabasi tu!nakerekaga sanaUkiwa mtu wa kusafiri na ma bus ya mikoani huyo jamaa utamfahamu kwa lazima.
Wanazirekodi kww kutumia zile camera za kurekodia matukio ya birthday.Watu wana masihara sana. Movie 2 ndani ya week.