Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..
Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...
Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!
Kwani ni Lazima wawe Wabunge?
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..
Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...
Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!
Kwani ni Lazima wawe Wabunge?