Labda tunatofautiana ni nini maana ya kufanikiwa kwa kila mtu!
Mimi maana yangu ya kufanikiwa ni. kupata kile ninachokipenda bila kuvunja sheria za nchi.
Kama ninaupenda ubunge basi si sahihi kuniengua kifigisu hata kama nimekaa bungeni miaka 50.
Hata huko Marekani kuna "Wabunge" wamekaa humo bungeni hata miaka 30 na wenhine wamekufa wakiwa wabunge,, akina John Lewis, Senators kama Teddy Kennedy, John Mccain, hatu huyo Biden mwenyewe alikuwa Senator kwa miaka kibao huko. Kwa hiyo as long as sheria zinaruhusu na mtu anapendwa basi its OK. Tatizo labda ni kwa wale wanaobanwa na sheria kisha wanajaribu kuzifinyanga ili waendelee kupata wakitakacho