Kwani ni lazima wawe Wabunge?

Kwani ni lazima wawe Wabunge?

Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..


Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...

Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!

Kwani ni Lazima wawe Wabunge?
Si lazima, lakini kitu cha msingi kabisa ni kuwa na mfumo wa kidemokrasia na wa haki.

1. Sababu za kukata watu zieleweke na ziwe wazi. Siyo mwenyekiti anakata watu kwa visasi binafsi na kwa kujisikia alivyoamka siku hiyo. Unamkata vipi incumbent aliyeshinda kura za wajumbe by far bila maelezo?

2. Sababu zitumike sawa kwa watu wote. Siyo huyu kakatwa kwa sababu katoa hongo, lakini yule naye katoa hongo hajakatwa.

3. Watu waruhusiwe kuwa wagombea huru. Wagombee bila kuhitaji chama. Hapo waliokatwa CCM ambao hawaoni chama kingine wanachokipenda wasilazimike kujiunga na chama ili kutafuta ubunge tu. Tumeona purukushani za kina Shibuda walioenda CHADEMA kutafuta ubunge tu. Ugombea binafsi utatupa nafasi hata wengine ambao hatuna vyama tukiamua kugombea uongozi tuwe na nafasi hiyo. Sasa hivi tuna haki hiyo kikatiba lakini imeminywa na sharti la kuhitaji chama. Nyerere alishasema kuhusu hili na kubariki wagombea huru. Justice Nyalali alilipendekeza. Kwa nini halitekelezwi? CCM inaogopa?

4. Kuna watu wanaona mchango wao mkubwa ni kwenye siasa za uwakilishi. Usiwapangie kazi. Ni haki yao ya kikatiba kutimiza ndoto zao. Wao hawajakupangia wewe kazi ya kufanya. Kila mtu awe na haki ya kupanga maisha yake kadiri katiba na sheria inavyoruhusu. Ni vibaya kuwasimanga kwa sababu tu wanataka uongozi.

5.Mchakato mzima wa kutafuta wagombea unatakiwa kuwa inclusive zaidi. Wagombea wapatikane kwa primaries za kupigiwa kura na wanachama wote hai wa jimboni. Halafu kama mtu ana kashfa inayomfanya akatwe, sababu za kumkata ziwekwe wazi.
 
Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..


Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...

Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!

Kwani ni Lazima wawe Wabunge?
Mkuu kwa kweli kuna mambo kadhaa sikubaliani na CCM.Lakini inafikirisha sana ,mtu yuko bungeni miaka zaidi ya kumi lakini anahama chama ameonewa.Halafu mtu huyohuyo alikua bungeni analalamika,anaihoji serikali kuhusu ukosefu wa ajira,mimi kwa hili nakubaliana na CCM,kuwakata angalao hizo nafasi chache wapatiwe wengine.
 
Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..


Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...

Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!

Kwani ni Lazima wawe Wabunge?
Ikitokea mteuaji wanayemtegemea amepigwa spana , watakimbilia wapi ?
 
Mkuu kwa kweli kuna mambo kadhaa sikubaliani na CCM.Lakini inafikirisha sana ,mtu yuko bungeni miaka zaidi ya kumi lakini anahama chama ameonewa.Halafu mtu huyohuyo alikua bungeni analalamika,anaihoji serikali kuhusu ukosefu wa ajira,mimi kwa hili nakubaliana na CCM,kuwakata angalao hizo nafasi chache wapatiwe wengine.
Bunge ni sehemu ya kutunga sheria ili nchi ipate maendeleo.

Bunge si sehemu ya kupatia watu ajira.
 
Bunge ni sehemu ya kutunga sheria ili nchi ipate maendeleo.

Bunge si sehemu ya kupatia watu ajira.
Kazi au majukumu ya Mbunge ni yapi mkuu,hebu yabainishe bila kuacha hata moja.Hebu tuanzie hapo.
 
Kazi za mbunge ni zipi mkuu akiwa bungeni Kama tu umeielewa hoja yangu, tuanzie hapo. Ila kama hujaielewa jaribu kupotezea.
 
..mimi ushauri wangu ni huu.

..kamati kuu na halmashauri kuu ingechuja majina ya watia nia.

..sasa waliopita kwenye mchujo ndiyo wangepigiwa kura.

..Na mshindi ndiyo apeperushe bendera ya chama.
Uchujaji wa watia nia una kasoro nyingi sana. Na hii ni kwa vyama vyote. Sema CCM wanakuwa na kibiri zaidi cha kuchuja watakavyo kwa sababu wanajua wakati wa uchaguzi dola inawabeba. Mimi nadhani wapinzania kama kweli wanataka kujitofautisha na CCM wachague njia nyingine ya kuchuja na kupitisha wagombea wao. Wafikirie hata kuwashirikisha watu wasio wanachama wa chama husika ili kujua kukubalika kwa mgombea kihalisia. Kutumia tu wajumbe kunafanya rushwa itawale kwani uchache wao unatoa mwanya wa kuhonga.
 
Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..


Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...

Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!

Kwani ni Lazima wawe Wabunge?

Hilo la maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kugombea ubunge (wakiwa bado wapo kazini) halikusumbui?
 
Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..


Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...

Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!

Kwani ni Lazima wawe Wabunge?
Waoga wa maisha hao waje huku nje tule nao mihogo na ngwara halafu wakiwa huko juu wanadharau sana
 
Yaani hawawezi kuishi na kifanikiwa nje ya Bunge?

Labda tunatofautiana ni nini maana ya kufanikiwa kwa kila mtu!

Mimi maana yangu ya kufanikiwa ni. kupata kile ninachokipenda bila kuvunja sheria za nchi.

Kama ninaupenda ubunge basi si sahihi kuniengua kifigisu hata kama nimekaa bungeni miaka 50.

Hata huko Marekani kuna "Wabunge" wamekaa humo bungeni hata miaka 30 na wenhine wamekufa wakiwa wabunge,, akina John Lewis, Senators kama Teddy Kennedy, John Mccain, hatu huyo Biden mwenyewe alikuwa Senator kwa miaka kibao huko. Kwa hiyo as long as sheria zinaruhusu na mtu anapendwa basi its OK. Tatizo labda ni kwa wale wanaobanwa na sheria kisha wanajaribu kuzifinyanga ili waendelee kupata wakitakacho
 
Umeongea akili ya juu ya wastani
,Wajinga watakutukana
Wapi waliosoma
Wana shahada mbalimbali
Wana uzoefu wa miaka
Wana connections
Wengi wamekuwa Wabunge miaka nenda Rudi...(wamezeekea bungeni)
Sasa wamekatwa wanahaha...wameonewa..wanashangaa..wanahoji kwanini wao?
Wengine wanaenda kufyekwa na waheshimiwa wapiga Kura...
Wengine wananyenyekea wakumbukwe kwenye uteuzi..


Hivi hawana akili za kuishi nje ya Bunge na serikali? Walipohimiza wengine wajiajiri, wafanye ujasiriamali na kulima..walidhani ni kwa wengine tu? Kama Wana shahada za fani fulani so wakawe mifanooo...

Wengine eti wanahama vyama kwa vile hawakupitishwa...halafu ifike 2024 tuambiwe wamenunuliwa wanaporudi walikotoka...laiti upinzani ungekuwa na wagombea wake...!!!

Kwani ni Lazima wawe Wabunge?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom