Kwani lazima mvae hizi chupi?

Kwani lazima mvae hizi chupi?

Hata robo siwezi G ana uwezo wa kuninulia ile BMW x6 kama aliyosema bold akipata pesa kwenye forex atamnunulia nifa
Bhana BMW X6 ina tumia sana mafuta, isitoshe TRA, na Mkaguzi wa hesabu wataanza kukusumbua na utakosa kampani maana ukiingia nayo uswazi watajua umekuja kuosha...au fine tufanye mimi ni yatima mwombe G uje kunifanyia counselling! Ukifika ingia tu na viatu vyako!
 
Itakuwa wanapenda kujichokonoa, ndio maana wanavaa hizo kusudi iwe sababu yakujichokonoa
 
Leo nimeona maajabu ya Dunia haki.... Maana minilijua hizo ni kamba tu, kumbe kuna Ke zinawahifadhia faragha zao....
Makubwa haya wallah....
 
Bhana BMW X6 ina tumia sana mafuta, isitoshe TRA, na Mkaguzi wa hesabu wataanza kukusumbua na utakosa kampani maana ukiingia nayo uswazi watajua umekuja kuosha...au fine tufanye mimi ni yatima mwombe G uje kunifanyia counselling! Ukifika ingia tu na viatu vyako!
Ahahahahahahha kwendeaaa
 
Hizi bikini kwa kweli zilishaga nipita kushoto,kwanza hua nahofia marinda yangu hako kamkanda kanavyoingia katikati nakua sina amani,pili nahofia makalio kugawanyika na kuweka uwazi hata ukivaa suruali yanakaa moja mashariki lingine magharibi bila kuwa na ushirikiano.
Ndo mana najivaliaga chupi ya kufunika tako lote,au zile boxer za kike,au hata za kiume napiga tu,nikishindwa kabisa natemba tu hivyo hivyo,tunashauriwa tuwe tunaacha vibumbu vipigwe hewa
Daaaah
 
Ndio matokeo ya kujichokonoa kila saa kuivuta chupi ,si mvae zinazoziba makalio jamani ona hii dhahama sasa
Mnaovaa hizi chupi ndio mnakuwaga hivi kila saa team nandy memeView attachment 747174
.
nandy.jpg
 
Back
Top Bottom