Kwani lazima mvae hizi chupi?

Kwani lazima mvae hizi chupi?

Hizi bikini kwa kweli zilishaga nipita kushoto,kwanza hua nahofia marinda yangu hako kamkanda kanavyoingia katikati nakua sina amani,pili nahofia makalio kugawanyika na kuweka uwazi hata ukivaa suruali yanakaa moja mashariki lingine magharibi bila kuwa na ushirikiano.
Ndo mana najivaliaga chupi ya kufunika tako lote,au zile boxer za kike,au hata za kiume napiga tu,nikishindwa kabisa natemba tu hivyo hivyo,tunashauriwa tuwe tunaacha vibumbu vipigwe hewa
i see
 
Hizi bikini kwa kweli zilishaga nipita kushoto,kwanza hua nahofia marinda yangu hako kamkanda kanavyoingia katikati nakua sina amani,pili nahofia makalio kugawanyika na kuweka uwazi hata ukivaa suruali yanakaa moja mashariki lingine magharibi bila kuwa na ushirikiano.
Ndo mana najivaliaga chupi ya kufunika tako lote,au zile boxer za kike,au hata za kiume napiga tu,nikishindwa kabisa natemba tu hivyo hivyo,tunashauriwa tuwe tunaacha vibumbu vipigwe hewa
We kama mimi mi naelekea kuacha kabisa kuvaa chupi
 
Mi chupi za nandy ndio nazipenda
gallery_hulk-hogan-7-28.jpeg
 
Back
Top Bottom