Kwani lazima mvae hizi chupi?

Kwani lazima mvae hizi chupi?

Hizi bikini kwa kweli zilishaga nipita kushoto,kwanza hua nahofia marinda yangu hako kamkanda kanavyoingia katikati nakua sina amani,pili nahofia makalio kugawanyika na kuweka uwazi hata ukivaa suruali yanakaa moja mashariki lingine magharibi bila kuwa na ushirikiano.
Ndo mana najivaliaga chupi ya kufunika tako lote,au zile boxer za kike,au hata za kiume napiga tu,nikishindwa kabisa natemba tu hivyo hivyo,tunashauriwa tuwe tunaacha vibumbu vipigwe hewa
Kipige picha tukione
 
Mm Ni mwanaume ila nazipenda Sana hzo chupi uongo mbaya, nataka nianze kuvaa
 
zamani vilikuwa vinavaliwa lakini kwa sasa mhn! watu wameokoka sijui hata vimetupwa wapi sijui wachungaji wanakataza? lakini swali ni kwamba wamejuaje kwamba waumini wao wanavaa?
 
Huyu naye alikuwa ni mafuta sana aise ...a haha sijui kapotelea wapi
Hizi bikini kwa kweli zilishaga nipita kushoto,kwanza hua nahofia marinda yangu hako kamkanda kanavyoingia katikati nakua sina amani,pili nahofia makalio kugawanyika na kuweka uwazi hata ukivaa suruali yanakaa moja mashariki lingine magharibi bila kuwa na ushirikiano.
Ndo mana najivaliaga chupi ya kufunika tako lote,au zile boxer za kike,au hata za kiume napiga tu,nikishindwa kabisa natemba tu hivyo hivyo,tunashauriwa tuwe tunaacha vibumbu vipigwe hewa
 
Back
Top Bottom