Sasa namshangaa huyo aliyevunja ndoa kisa mke kapewa biaSio utumwa dear
Kubali kila kitu
Hawa ndiyo wanaume wenye uume mfupi na mwenbamba. Hawajiamini hata kidogoKuna siku niliwahi kuona timbwili jamaa kachomoa mguu wa kuku kisa chenyewe cha kitoto eti jamaa kampa offer ya bia mkewe mbele yake.
Kwahiyo mtu akiolewa asipigwe ofa maisha yake yote yaliyobakia?Ofa ya Bia moja, hupelekea kuanzisha ofa nyingine.
Itategemea hiyo ofa ni ya kitu gani. Kama ni Soda ni sawa tu, sio kileviKwahiyo mtu akiolewa asipigwe ofa maisha yake yote yaliyobakia?
Ahaa! Ok.Itategemea hiyo ofa ni ya kitu gani. Kama ni Soda ni sawa tu, sio kilevi
Dini zimetufunza kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu hata akiwa na miaka 60 bado ni dhaifu. Hivyo ni mwepesi sana kurubunika hata kwa Pipi kijiti tu inatosha sembuse Bia.Ahaa! Ok.
Lkn mm nilidhani ingekifaa kama kila mtu ajichunge mwenyewe badala ya mwanamke kutazamwa kama mtoto mdogo.
Mpk kaolewa maana yake ni mtu mzima anaelewa baya na zuri.
Umeona eeh!!? Yaani mtu akatae ofa kisa ndoa??Maisha yenyewe yako wapi hapa ya kukataa ofa na outings????
Sio kisa cha kitoto bro. Mwanaume uliyekamilika huwezi ruhusu dume mwenzako atoe huduma/ofa kwa wife halafu ww ukiwepo, hata kama ni favor. So yuko sahihi huyo jamaa.Kuna siku niliwahi kuona timbwili jamaa kachomoa mguu wa kuku kisa chenyewe cha kitoto eti jamaa kampa offer ya bia mkewe mbele yake.