Kwani kuchaniwa faini ndiyo kunakufanya uwe na hasira?

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Jun 3, 2023
258
269
Jambo hili nimeliona sana kwa madereva wengi wa gari za abiria.Akichaniwa faini kwa makosa mbalimbali akitoka pale kama amekorofishana na mtu.Ndiyo nauliza kwanini hii tabia hutokea?
 
Jambo hili nimeliona sana kwa madereva wengi wa gari za abiria.Akichaniwa faini kwa makosa mbalimbali akitoka pale kama amekorofishana na mtu.Ndiyo nauliza kwanini hii tabia hutokea?
Ungetulia ukaandika vizuri ukaeleweka ila huu ulio tuandikia ni upuuzi tu huelewki.
 
Back
Top Bottom