Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 258
- 269
Jambo hili nimeliona sana kwa madereva wengi wa gari za abiria.Akichaniwa faini kwa makosa mbalimbali akitoka pale kama amekorofishana na mtu.Ndiyo nauliza kwanini hii tabia hutokea?
Ungetulia ukaandika vizuri ukaeleweka ila huu ulio tuandikia ni upuuzi tu huelewki.Jambo hili nimeliona sana kwa madereva wengi wa gari za abiria.Akichaniwa faini kwa makosa mbalimbali akitoka pale kama amekorofishana na mtu.Ndiyo nauliza kwanini hii tabia hutokea?
nawwe mbona una hasiraJambo hili nimeliona sana kwa madereva wengi wa gari za abiria.Akichaniwa faini kwa makosa mbalimbali akitoka pale kama amekorofishana na mtu.Ndiyo nauliza kwanini hii tabia hutokea?
Wapi hujaelewa ndg ?Ungetulia ukaandika vizuri ukaeleweka ila huu ulio tuandikia ni upuuzi tu huelewki.
Sinanawwe mbona una hasira
Wapi hujaelewa?Au kwakuwa sijaenda hata paragrafu mbili?Mbona umeandika ukiwa unakimbilia daladala hadi hujaeleweka. tulia ukae uandike vizuri