The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,886
MPENZI WAKO ANA WIVU??KUZIDI HUYU??
Alikuja dada mmoja jana hapa ofisini kuongea kuhusu adha anayoipata katika maisha ya ndoa,akiwa na malalamiko kibao kuhusu WIVU wa mumewe?akasema amechoka jamani WIVU huu umezidi...Tulijua namna ya kumsaidia lakini leo alisikika kwenye hekaheka na Gea kama ushuhuda wake kwa jamii
HAYA NDIO BAADHI YA MAMBO YA WIVU ANAYOTENDEWA NA MUMEWE
1.Mwanaume akiondoka asubuhi anamuingiza vidole sehemu za siri ana mwambia hapa nimeacha hivi ole wako jioni nikirudi niikute tofauti.
2.Mwanaume ananusa chupi zake,anasema huwa ana kawaida ya kuloweka chupi zake siku hiyo akamkuta mwanaume bafuni ananusa chupi zake huku anasema mwanamke kazidi umalaya huyu.
3.Mgeni mwanaume akija nyumbani tena mgeni wa mume,bwana anafanya kuwaangalia machoni kama kuna dalili zozote za kukonyezana.
4.Kuna siku mwanaume anaaga anatoka baadae anarudi kwa kujificha halafu anajificha chini ya uvungu aone kama mkewe ataingiza mwanaume ndani.Baadae mwanamke anashangaa mwanaume anaibukia chini ya uvungu.
5.Haruhusiwi kuwa na marafiki wala kukaa kuongea na majirani.
6.Akitoka akirudi mume anamnusa mwili mzima kama anaharufu ya tofauti.
7.Anapigwa mpaka basi.
Hapa ndipo namkumbuka Aunty Sadaka aliwahi kusema kuna wakati tunachukulia poa mambo wanayoyafanya wapenzi wetu dhidi yetu na kuishia kusema "mpenzi wangu ana wivu" kumbe ana ku abuse kupita kiasi.Na inapofika point hii kunakuwa hakuna mapenzi tena ni hatua mbaya ambayo wote wawili kama bado mnapendana mnahitaji msaada kubwa wa kisaikolojia.Na kama mmoja kachoka hakuna la zaidi zaidi ya kutengana.
Alikuja dada mmoja jana hapa ofisini kuongea kuhusu adha anayoipata katika maisha ya ndoa,akiwa na malalamiko kibao kuhusu WIVU wa mumewe?akasema amechoka jamani WIVU huu umezidi...Tulijua namna ya kumsaidia lakini leo alisikika kwenye hekaheka na Gea kama ushuhuda wake kwa jamii
HAYA NDIO BAADHI YA MAMBO YA WIVU ANAYOTENDEWA NA MUMEWE
1.Mwanaume akiondoka asubuhi anamuingiza vidole sehemu za siri ana mwambia hapa nimeacha hivi ole wako jioni nikirudi niikute tofauti.
2.Mwanaume ananusa chupi zake,anasema huwa ana kawaida ya kuloweka chupi zake siku hiyo akamkuta mwanaume bafuni ananusa chupi zake huku anasema mwanamke kazidi umalaya huyu.
3.Mgeni mwanaume akija nyumbani tena mgeni wa mume,bwana anafanya kuwaangalia machoni kama kuna dalili zozote za kukonyezana.
4.Kuna siku mwanaume anaaga anatoka baadae anarudi kwa kujificha halafu anajificha chini ya uvungu aone kama mkewe ataingiza mwanaume ndani.Baadae mwanamke anashangaa mwanaume anaibukia chini ya uvungu.
5.Haruhusiwi kuwa na marafiki wala kukaa kuongea na majirani.
6.Akitoka akirudi mume anamnusa mwili mzima kama anaharufu ya tofauti.
7.Anapigwa mpaka basi.
Hapa ndipo namkumbuka Aunty Sadaka aliwahi kusema kuna wakati tunachukulia poa mambo wanayoyafanya wapenzi wetu dhidi yetu na kuishia kusema "mpenzi wangu ana wivu" kumbe ana ku abuse kupita kiasi.Na inapofika point hii kunakuwa hakuna mapenzi tena ni hatua mbaya ambayo wote wawili kama bado mnapendana mnahitaji msaada kubwa wa kisaikolojia.Na kama mmoja kachoka hakuna la zaidi zaidi ya kutengana.