Kwani hakuna uwezekano wa kufanya hivi wakitaka kujenga Fly Over?

anabalansisha ile imbalansi ya kuvunja Kimara na kutokuvunja Mwanza.
 
Hata zuio la mahakama dhidi ya ubomoaji ilikuwa ni sheria au vipi?.

Kama tuliamua kula nguruwe kwa kutolifuata agizo la mahakama la kuzuia ubomoaji basi tunaweza kula aliyenona zaidi kwa kutafuta njia za kunusuru hilo jengo la thamani ya mabilioni
Umemjibu vizuri sana. Kama tunajinasibu kuwa tunafuata sheria na kuzitii mbona zuio la mahakama lipo kisheria na hatukulitii?
 
Kubomoa kwake ni political mileage. Anadhani anakonga nyoyo za wananchi fukara waliobomolewa nyumba zao
 
Huwezi pitisha njia ya hivyo kwenye lile ghorofa la tanesco kwakuwa itahitaji kuvunja baazi ya nguzo na jengo litapolomoka. Hiyo picha uliyotuwekea ghorofa na hiyo flyover vili dizainiwa kuwa pamoja kabla ya ujenzi.
Unahakika na unachosema au unahisi
 
Mbona Povu jingi ndugu imekuwaje? huyo jamaa yako kuna lipi la Maana alilofanya mpaka sasa zaidi yakuvunja Nyumba za watu!
 
Zuio, sio maana yake zisibomolewe au kwamba hazitabomolewa.
Mahakama kuzuia, ni inaweka mambo fulani sawa as long as zilikuwa ktk hifadhi ya barabara. Kwa hiyo sooner or later zingebomolewa tu.
Kwa huu mchango wako, nasikitika sana kuutangazia umma wa JamiiForums kwamba wewe hautumii akili yako kufikiri!

Ni bora ungekaa kimya kuliko kuonesha upopompo wako mkuu!

Aibu ya mwaka hii!
 
Uko sahihi, ila Sheria ya hifadhi za barabara inasemaje?? Je kuna uonevu wowote?? Mimi kwa mtazamo wangu naona ni sahihi. Wewe kwa mtazamo wako waona sio sahihi.

KUVUNJWA KWA JENGO LITAKUWA SOMO MOJA ZURI SANA KWA WAVAMIZI WA HIFADHI ZA BARABARA.
Mnatumia viungo gani kufikiri? hebu nisaidie kujua unapoishi Kama umewahi kukumbana na Adha yakuvunjiwa Msiongee tu kwakuwa midomo ni mali yenu
 
Tuna mengi ya kushangaza, we fikiria kujenga daraja toka agakhan mpaka kokobichi wakati pesa hiyo ingejenga flyover ya hatari pale selander. nakubaliana na Ghazwat kwamba umasikini wetu ni wa kujitakia
Salenda hakutakuwa na folen kubwa kama la koko likijengwa
 
Mh Rais JPJM msikilize Ghazwat kama yeye kachora huu mchoro
 
Inshort ni kuwa kama liko barabaran na barabara inabidi itanuke mpaka apo
Halina budi kuangushwa

Tatizo watu wana ushabiki
Ata mie ningekuwa simkubali jamaa ningepinga2
Naona anania njema sana na sababu kubwa na nzr ila ndo hvyo watu wana hoja za kijingakijinga2 kupinga
Kweli hilo jengo ni kivutio
Lkn kujenga hilo jengo ni bilion40 bwa uchumi wa sasa kitu ambacho ni sawa na walivyokuwa wakiilipa richmond ya utapeli kwa miez3
 
Walishajaribu kumuita hapo mwanzoni hilo jina, it didnt take long wakagundua JPM ni mumber nyingine kabisa! kupunguza speed sahau, labda kuongeza.
 
unaanzaje tu kupitisha barabara katikati ya jengo...load ya hiyo flyover ilijumlishwa wakati ilo ghorofa linajengwa???????
Jengo halikuguswa hapo na wala mtikisiko unaosababishwa na magari hautikisi jengo hata kidogo.Wonderful engineering.
 
Watabomoa kama wanavyotaka, ila lazima swala lijadiliwe kwamba kulikuwa na alternatives, nawo waelewe hivyo, hii ndio JF, mazuri yatapondwa, mihemko naye lazima ile knuckles, tuna discuss, huwa wanapita humu, itasaidia siku nyingine wanapotaka kukurupuka kufanya jambo watulize akili na brainstom kwanza..
 
Tunapaswa kujua kuwa kurekebisha uhovyo tuliokuwa nao ni lazima maumivu yawepo. Hoja yako ni kama ya LOWASA eti hawa wenye vyeti feki wana familia na eti familia zao zitaathirika. No wacha ziathirike lakini Nchi na serikali ni lazima irudi kwenye mstari sahihi - Tunataka Tanzania Mpya kwa tulipokuwa tumefikishwa ili kurekebisha MAUMIVU hayakwepeki mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…