wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
UmeonaeeSsi kweli huu ni udaku tu kama udaku meingine!
UmeonaeeSsi kweli huu ni udaku tu kama udaku meingine!
Wa asilimia kubwa ya wasio jua wanadhani hivyo hivyoMkuu hata mimi nilidhani hivyo lakini baada ya kuingia chimbo kwa kuzungumza na mkurugenzi mmojawapo imedhibitika lile jengo ni mali ya tanesço asilimia mia,! Hawana ubia na mtu yeyote. Maana yake ni kodi zetu! Hakuna cha Rostam wala Lowasa wala PPF.
Inawezekana hata ulaya kipindi wanajenga walibomoaga, habomoi sababu kajiskia ila ni sababu lipo njiani, hata akijenga vipi kama jengo lipo njiani ni lazima libomolewe tu ili kupisha hiyo cjui fly over
Asipobomoa ataonekana mnyonge ,yeye sio rais ,hana mamlaka n.k anataka kuonyesha nani ndiye boss!
Baada ya Rais kutembelea miradi miwili ya ujenzi wa Barabara za Juu maeneo ya Tazara na Ubungo, Rais aliagiza kuwa Makao Makuu ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) lililopo eneo la Ubungo sambamba na jengo la Wizara ya Maji yawekwe alama X tayari kwa kubomolewa kupisha ujenzi wa mradi huo.
Sipingani na Rais yuko sawa katika amri ya kubomoa, ila hoja yangu hakuna uwezekano kufanya kama picha zinavyoonyesha hapa? Maana nijuavyo ni kwamba unajenga Fly Over kuepusha msongamano wa magari wakati huo huo shughuli zingine kama za Ofisi au Kibiashara zikiendelea maeneo hayo. Au hata Ulaya nako wanabomoa majengo wakitaka kujenga Fly Over, Au Ubungo Interchange?
Nawasilisha
==========
Mdau Mwingine
tuna pesa ipi hii hii tunayokopa au??Penye pesa hapajawahi kukwama kitu.
Kilikwama kitu kimoja tu, binadamu kuumba (kutengeneza) binadamu.
Ila kila kitu kingine unachojua kinawezekana ukiwa na hela.
Itakuwa hawakuspecify soda ipi, mimi nimependekeza Fanta, mana povu lake halizidi kwenye mdomo wa chupa. Ukisema povu la soda inajulikana ni Coca cola, sasa coca cola ukiwa unaimix na MENTOS.... kasi haipungui leo yaani inaweza kuharibu vitu kabisaWalishajaribu kumuita hapo mwanzoni hilo jina, it didnt take long wakagundua JPM ni mumber nyingine kabisa! kupunguza speed sahau, labda kuongeza.