zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Jamani wana chit-chat,Hivi ni kwanini babu kipara huamka usingizini?
Mfano mzuri unapokurupuka usiku kwenda kupata Haja ndogo yani unakuta babu kasimama alafu jicho moja limetoka mbaya,Nini chanzo..
Na inasemekana ikitokea umeamka hujaona kama umeamka utakuwa tatizo la ulemavu wa Babu.kipara.
Mfano mzuri unapokurupuka usiku kwenda kupata Haja ndogo yani unakuta babu kasimama alafu jicho moja limetoka mbaya,Nini chanzo..
Na inasemekana ikitokea umeamka hujaona kama umeamka utakuwa tatizo la ulemavu wa Babu.kipara.