Kwangu Mimi Manyerere Jackton aliyepata 'Masters' yake SAUT juzi ndiyo Msomi na siyo wale 'Wasanii' Wawili waliopata 'PhD's' zao za UDOM hivi karibuni

Angefikaje SUA Sasa huyo kilaza? Kwenda SAUT ni ishara kwamba hakuwa na qualification hata ya kwenda VETA! Angalia hata namna ya uandishi wake humu utagundua ni jitu jiupe kichwani.
Lenyewe linajiitaga Karismatic Fela.......Daah! Elimu nchii hii imepigwa na kitu kizoto hadi basi. Huku Musukuma kule GENTAMYCINE.
Jf sihami
 
Wapumbavu wachache mnaonishambulia kwa huu Uzi wangu mmemaliza au bado? Kama bado tafadhali muda upo endeleeni kwani Kudhihakiwa na Wendawazimu wa aina yenu wala huwa hakunipi taabu.

Nilichofurahi tu ni kwamba pamoja na Kunichukia Kwenu, Kutopenda Uzi wangu na Kunishambulia kotee ila nyote ( mnaojiita Werevu na Wasomi ) mmeweza kupoteza muda wenu na Kusoma Uzi wa GENTAMYCINE ambaye 99.9 yenu mnanichukia katika Viganja vyenu vya vidole ila Mioyoni mwenu mnanikubali sana na ndiyo maana yupo Mpumbavu Mwenzenu Mmoja kuonyesha kuwa ananipenda, anaijua na ameikariri mpaka na 'Signature' yangu ya 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na ameumia mno Mimi kuwa nayo na pengine anatamani ndiyo ingekuwa yake.

Sijutii Kusoma Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza na bahati nzuri Kwangu GENTAMYCINE ni kwamba huwa sina DNA ya Kupenda au Kuchagua Vitu vibovu vibovu na ndiyo maana Vitu nivipendavyo ni vizuri na vinafanikiwa pia.

Kwa mfano naipenda Klabu ya Simba SC kwa Tanzania na ya Liverpool FC kwa Ulaya na zote zinafanya vyema.

Nawapenda Wachezaji akina Lionel Messi, Jonas Mkude na Khalid Aucho na Wote wanafanya vizuri.

Naipenda mno Bendi ya Muziki ya Wenge BCBG yake JB Mpiana na ndiyo Bendi pendwa na yenye Mvuto hasa kwa Kupiga Misebene na Rhumba za Kufa Mtu.

Naipenda sana nchi ya Rwanda kwakuwa haina Raia Wapumbavu na wenye Wivu pamoja na Chuki kama Raia wa nchi moja Jirani ambao 95% ya Wananchi wake wana Upuuzi mwingi na upeo mdogo wa Kufikiri.

Nalipenda Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) kuliko Majeshi mengine yote barani Afrika na Duniani kwani ndilo Jeshi lenye Utii, Maadili, Utayari, Uvumilivu, Umahiri, Ukakamavu wa Asili liko very committed hasa Kimedani.

Naupenda zaidi Mtandao huu wa JamiiForums kuliko Mitandao mingine yote duniani na kwa Takwimu nilizonazo kwa Tanzania yetu JamiiForums ndiyo Mtandao unaosomwa na Wengi na Kuaminika haraka Kimaudhui yake.

Nampenda mno Mrembo ( Mnyange ) Hamisa Mobeto kwani Yeye si tu ni 'very Pretty' bali pia ni 'Photogenic' hasa tofauti na Wanawake wengine wengi kiasi kwamba ndiyo Mwanamke anayeongozwa Kufuatiliwa sana na Watu ( hasa wa nje ya Tanzania ) hivyo kupelekea kuzidi Kujulikana.

Tanzania ina Vyuo Vikuu vingi na tena GENTAMYCINE naviheshimu vyote ila nakipenda zaidi Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwakuwa hawakufundishi tu ujue Kukariri Notes, Ufaulu Mitihani na upate Cheti katika Mahafali yao, bali ukimaliza Masomo na kwa Elimu yao ya Msuli Mwingi ( Ngumu ) utakuwa ni Hazina ya Kifikra ( Intellectual ) kwa ndani na nje.

I'm proud of SAUT my Favorite Varsity.

Cc: Chinga One, Woga tupa kulee, donlucchese, USSR, Dorome, GRANITE II, Tangantika, Buti la mkoloni, josephwaara, maroon7, Jorojik, adriz
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Ulianza vizuri, lakini mwishoni umeboronga. Hivi u-genius unafundishwa? That is an inborn character!
 
Wapumbavu wachache mnaonishambulia kwa huu Uzi wangu mmemaliza au bado? Kama bado tafadhali muda upo endeleeni kwani Kudhihakiwa na Wendawazimu wa aina yenu wala huwa hakunipi taabu.

Nilichofurahi tu ni kwamba pamoja na Kunichukia Kwenu, Kutopenda Uzi wangu na Kunishambulia kotee ila nyote ( mnaojiita Werevu na Wasomi ) mmeweza kupoteza muda wenu na Kusoma Uzi wa GENTAMYCINE ambaye 99.9 yenu mnanichukia katika Viganja vyenu vya vidole ila Mioyoni mwenu mnanikubali sana na ndiyo maana yupo Mpumbavu Mwenzenu Mmoja kuonyesha kuwa ananipenda na huenda hata nikimuomba 'nimbokoe' atanikubalia tu anaijua na ameikariri mpaka na 'Signature' yangu ya 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na ameumia mno Mimi kuwa nayo na pengine anatamani ndiyo ingekuwa yake.

Sijutii Kusoma Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza na bahati nzuri Kwangu GENTAMYCINE ni kwamba huwa sina DNA ya Kupenda au Kuchagua Vitu vibovu vibovu na ndiyo maana Vitu nivipendavyo ni vizuri na vinafanikiwa pia.

Kwa mfano naipenda Klabu ya Simba SC kwa Tanzania na ya Liverpool FC kwa Ulaya na zote zinafanya vyema.

Nawapenda Wachezaji akina Lionel Messi, Jonas Mkude na Khalid Aucho na Wote wanafanya vizuri.

Naipenda mno Bendi ya Muziki ya Wenge BCBG yake JB Mpiana na ndiyo Bendi pendwa na yenye Mvuto hasa kwa Kupiga Misebene na Rhumba za Kufa Mtu.

Naipenda sana nchi ya Rwanda kwakuwa haina Raia Wapumbavu na wenye Wivu pamoja na Chuki kama Raia wa nchi moja Jirani ambao 95% ya Wananchi wake wana Upuuzi mwingi na upeo mdogo wa Kufikiri.

Nalipenda Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) kuliko Majeshi mengine yote barani Afrika na Duniani kwani ndilo Jeshi lenye Utii, Maadili, Utayari, Uvumilivu, Umahiri, Ukakamavu wa Asili liko very committed hasa Kimedani.

Naupenda zaidi Mtandao huu wa JamiiForums kuliko Mitandao mingine yote duniani na kwa Takwimu nilizonazo kwa Tanzania yetu JamiiForums ndiyo Mtandao unaosomwa na Wengi na Kuaminika haraka Kimaudhui yake.

Nampenda mno Mrembo ( Mnyange ) Hamisa Mobeto kwani Yeye si tu ni 'very Pretty' bali pia ni 'Photogenic' hasa tofauti na Wanawake wengine wengi kiasi kwamba ndiyo Mwanamke anayeongozwa Kufuatiliwa sana na Watu ( hasa wa nje ya Tanzania ) hivyo kupelekea kuzidi Kujulikana.

Tanzania ina Vyuo Vikuu vingi na tena GENTAMYCINE naviheshimu vyote ila nakipenda zaidi Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwakuwa hawakufundishi tu ujue Kukariri Notes, Ufaulu Mitihani na upate Cheti katika Mahafali yao, bali ukimaliza Masomo na kwa Elimu yao ya Msuli Mwingi ( Ngumu ) utakuwa ni Hazina ya Kifikra ( Intellectual ) kwa ndani na nje.

I'm proud of SAUT my Favorite Varsity.

Cc: Chinga One, Woga tupa kulee, donlucchese, USSR, Dorome, GRANITE II, Tangantika, Buti la mkoloni, josephwaara, maroon7, Jorojik, adriz
SAUT ulisomea kozi gani?
BTW Division three ndio ilikufanya ushindwe kusoma UDSM,SUA,UDOM,DUCE,MUCE
 
Wapumbavu wachache mnaonishambulia kwa huu Uzi wangu mmemaliza au bado? Kama bado tafadhali muda upo endeleeni kwani Kudhihakiwa na Wendawazimu wa aina yenu wala huwa hakunipi taabu.

Nilichofurahi tu ni kwamba pamoja na Kunichukia Kwenu, Kutopenda Uzi wangu na Kunishambulia kotee ila nyote ( mnaojiita Werevu na Wasomi ) mmeweza kupoteza muda wenu na Kusoma Uzi wa GENTAMYCINE ambaye 99.9 yenu mnanichukia katika Viganja vyenu vya vidole ila Mioyoni mwenu mnanikubali sana na ndiyo maana yupo Mpumbavu Mwenzenu Mmoja kuonyesha kuwa ananipenda na huenda hata nikimuomba 'nimbokoe' atanikubalia tu anaijua na ameikariri mpaka na 'Signature' yangu ya 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na ameumia mno Mimi kuwa nayo na pengine anatamani ndiyo ingekuwa yake.

Sijutii Kusoma Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza na bahati nzuri Kwangu GENTAMYCINE ni kwamba huwa sina DNA ya Kupenda au Kuchagua Vitu vibovu vibovu na ndiyo maana Vitu nivipendavyo ni vizuri na vinafanikiwa pia.

Kwa mfano naipenda Klabu ya Simba SC kwa Tanzania na ya Liverpool FC kwa Ulaya na zote zinafanya vyema.

Nawapenda Wachezaji akina Lionel Messi, Jonas Mkude na Khalid Aucho na Wote wanafanya vizuri.

Naipenda mno Bendi ya Muziki ya Wenge BCBG yake JB Mpiana na ndiyo Bendi pendwa na yenye Mvuto hasa kwa Kupiga Misebene na Rhumba za Kufa Mtu.

Naipenda sana nchi ya Rwanda kwakuwa haina Raia Wapumbavu na wenye Wivu pamoja na Chuki kama Raia wa nchi moja Jirani ambao 95% ya Wananchi wake wana Upuuzi mwingi na upeo mdogo wa Kufikiri.

Nalipenda Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) kuliko Majeshi mengine yote barani Afrika na Duniani kwani ndilo Jeshi lenye Utii, Maadili, Utayari, Uvumilivu, Umahiri, Ukakamavu wa Asili liko very committed hasa Kimedani.

Naupenda zaidi Mtandao huu wa JamiiForums kuliko Mitandao mingine yote duniani na kwa Takwimu nilizonazo kwa Tanzania yetu JamiiForums ndiyo Mtandao unaosomwa na Wengi na Kuaminika haraka Kimaudhui yake.

Nampenda mno Mrembo ( Mnyange ) Hamisa Mobeto kwani Yeye si tu ni 'very Pretty' bali pia ni 'Photogenic' hasa tofauti na Wanawake wengine wengi kiasi kwamba ndiyo Mwanamke anayeongozwa Kufuatiliwa sana na Watu ( hasa wa nje ya Tanzania ) hivyo kupelekea kuzidi Kujulikana.

Tanzania ina Vyuo Vikuu vingi na tena GENTAMYCINE naviheshimu vyote ila nakipenda zaidi Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwakuwa hawakufundishi tu ujue Kukariri Notes, Ufaulu Mitihani na upate Cheti katika Mahafali yao, bali ukimaliza Masomo na kwa Elimu yao ya Msuli Mwingi ( Ngumu ) utakuwa ni Hazina ya Kifikra ( Intellectual ) kwa ndani na nje.

I'm proud of SAUT my Favorite Varsity.

Cc: Chinga One, Woga tupa kulee, donlucchese, USSR, Dorome, GRANITE II, Tangantika, Buti la mkoloni, josephwaara, maroon7, Jorojik, adriz
Pamoja kiongozi. Sorry, hivi saut wanatoa MBA ya corporate finance? If so, entry requirements ikoje
 
Wapumbavu wachache mnaonishambulia kwa huu Uzi wangu mmemaliza au bado? Kama bado tafadhali muda upo endeleeni kwani Kudhihakiwa na Wendawazimu wa aina yenu wala huwa hakunipi taabu.

Nilichofurahi tu ni kwamba pamoja na Kunichukia Kwenu, Kutopenda Uzi wangu na Kunishambulia kotee ila nyote ( mnaojiita Werevu na Wasomi ) mmeweza kupoteza muda wenu na Kusoma Uzi wa GENTAMYCINE ambaye 99.9 yenu mnanichukia katika Viganja vyenu vya vidole ila Mioyoni mwenu mnanikubali sana na ndiyo maana yupo Mpumbavu Mwenzenu Mmoja kuonyesha kuwa ananipenda na huenda hata nikimuomba 'nimbokoe' atanikubalia tu anaijua na ameikariri mpaka na 'Signature' yangu ya 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na ameumia mno Mimi kuwa nayo na pengine anatamani ndiyo ingekuwa yake.

Sijutii Kusoma Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza na bahati nzuri Kwangu GENTAMYCINE ni kwamba huwa sina DNA ya Kupenda au Kuchagua Vitu vibovu vibovu na ndiyo maana Vitu nivipendavyo ni vizuri na vinafanikiwa pia.

Kwa mfano naipenda Klabu ya Simba SC kwa Tanzania na ya Liverpool FC kwa Ulaya na zote zinafanya vyema.

Nawapenda Wachezaji akina Lionel Messi, Jonas Mkude na Khalid Aucho na Wote wanafanya vizuri.

Naipenda mno Bendi ya Muziki ya Wenge BCBG yake JB Mpiana na ndiyo Bendi pendwa na yenye Mvuto hasa kwa Kupiga Misebene na Rhumba za Kufa Mtu.

Naipenda sana nchi ya Rwanda kwakuwa haina Raia Wapumbavu na wenye Wivu pamoja na Chuki kama Raia wa nchi moja Jirani ambao 95% ya Wananchi wake wana Upuuzi mwingi na upeo mdogo wa Kufikiri.

Nalipenda Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) kuliko Majeshi mengine yote barani Afrika na Duniani kwani ndilo Jeshi lenye Utii, Maadili, Utayari, Uvumilivu, Umahiri, Ukakamavu wa Asili liko very committed hasa Kimedani.

Naupenda zaidi Mtandao huu wa JamiiForums kuliko Mitandao mingine yote duniani na kwa Takwimu nilizonazo kwa Tanzania yetu JamiiForums ndiyo Mtandao unaosomwa na Wengi na Kuaminika haraka Kimaudhui yake.

Nampenda mno Mrembo ( Mnyange ) Hamisa Mobeto kwani Yeye si tu ni 'very Pretty' bali pia ni 'Photogenic' hasa tofauti na Wanawake wengine wengi kiasi kwamba ndiyo Mwanamke anayeongozwa Kufuatiliwa sana na Watu ( hasa wa nje ya Tanzania ) hivyo kupelekea kuzidi Kujulikana.

Tanzania ina Vyuo Vikuu vingi na tena GENTAMYCINE naviheshimu vyote ila nakipenda zaidi Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwakuwa hawakufundishi tu ujue Kukariri Notes, Ufaulu Mitihani na upate Cheti katika Mahafali yao, bali ukimaliza Masomo na kwa Elimu yao ya Msuli Mwingi ( Ngumu ) utakuwa ni Hazina ya Kifikra ( Intellectual ) kwa ndani na nje.

I'm proud of SAUT my Favorite Varsity.

Cc: Chinga One, Woga tupa kulee, donlucchese, USSR, Dorome, GRANITE II, Tangantika, Buti la mkoloni, josephwaara, maroon7, Jorojik, adriz
Pole mkuu.
Tatizo lako kitaalamu linaitwa 'Bipolar mania'. Linatibika na tafadhali wahi hospitali kabla hali haijawa mbaya.
Wanao mfahamu mleta mada wamsaidie
 
Manyerere hongera zake lakini sio yeye tu waliosoma MA hapo SAUT. jamaa alimua kurudi chuo baada ya kukosa teuzi toka kwa rafiki yake. Kati ya watu waliopatwa na msiba wa JPM ni huyu Manyerere.
 
Nakumbuka miaka ya nyuma chuo kikuu Cha SAUT walikuwa na program maalumu kwa watu waliopata division (four form 6)..
Yaani ukipata division four kidato Cha sita unapigwa kipindi kwa miezi mitatu..alafu unajiunga na masomo ya degree na wengine waliopa division 3 (kipindi Cha nyuma division 1 na 2 walikuwa wanaenda vyuo vya serikali)
 
SAUT ulisomea kozi gani?
BTW Division three ndio ilikufanya ushindwe kusoma UDSM,SUA,UDOM,DUCE,MUCE
Nina Division II ya Ordinary Level na nina Division I ya Advanced Level na sijui ni Mpumbavu ( Tula Tula ) Mwenzako gani alikuambia kuwa SAUT wanaenda tu wasiokuwa na Ufaulu mkubwa kama nilionao.

Na kwa Kukusaidia tu ni kwamba nilienda SAUT kwakuwa ndiyo Chuo Kikuu ambacho ni Mama wa Kozi ya Habari ( Uandishi ) na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania japo hata Chuo Kikuu cha UDSM nao walikuwa nayo hiyo Kozi ila hawakuwa 'that Competent' kama SAUT Mwanza.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE namalizia kwa Kusisitiza kuwa nina Division II ya Form Four na nina Division I ya Form Six.

Haya njoo na lingine pia Tulatula Wewe.
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Ungekuwa mwanamke, nadhani kambi yako ingekuwa Villa Park au maeneo ya Aspro mtaa wa Uhuru
 
Pamoja kiongozi. Sorry, hivi saut wanatoa MBA ya corporate finance? If so, entry requirements ikoje
Pumbavu Mnafiki mkubwa Wewe. Yaani umeshindwa kwenda tu www.saut.ac.tz ili ukapate 'Details' zote hizi unazoniuliza hapa? Nikiwa nawaita Popoma au Tulatula ( Pumbavu ) msiwe mnaninunia sawa?

Kama umeweza kuwa na access ya Internet na una Data la kutosha umewezaje kuingia hapa JamiiForums na ukashindwa pia 'Kugugo' tu SAUT Mtandao ili upate kila Kitu? Mnafiki mkubwa Wewe!!
 
Nakumbuka miaka ya nyuma chuo kikuu Cha SAUT walikuwa na program maalumu kwa watu waliopata division (four form 6)..
Yaani ukipata division four kidato Cha sita unapigwa kipindi kwa miezi mitatu..alafu unajiunga na masomo ya degree na wengine waliopa division 3 (kipindi Cha nyuma division 1 na 2 walikuwa wanaenda vyuo vya serikali)
Nina Division II ya Ordinary Level na nina Division I ya Advanced Level na sijui ni Mpumbavu ( Tula Tula ) Mwenzako gani alikuambia kuwa SAUT wanaenda tu wasiokuwa na Ufaulu mkubwa kama nilionao.

Na kwa Kukusaidia tu ni kwamba nilienda SAUT kwakuwa ndiyo Chuo Kikuu ambacho ni Mama wa Kozi ya Habari ( Uandishi ) na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania japo hata Chuo Kikuu cha UDSM nao walikuwa nayo hiyo Kozi ila hawakuwa 'that Competent' kama SAUT Mwanza.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE namalizia kwa Kusisitiza kuwa nina Division II ya Form Four na nina Division I ya Form Six.

Haya njoo na lingine pia Tulatula Wewe.

Cc: Saveya
 
Pumbavu Mnafiki mkubwa Wewe. Yaani umeshindwa kwenda tu www.saut.ac.tz ili ukapate 'Details' zote hizi unazoniuliza hapa? Nikiwa nawaita Popoma au Tulatula ( Pumbavu ) msiwe mnaninunia sawa?

Kama umeweza kuwa na access ya Internet na una Data la kutosha umewezaje kuingia hapa JamiiForums na ukashindwa pia 'Kugugo' tu SAUT Mtandao ili upate kila Kitu? Mnafiki mkubwa Wewe!!
, you've just confirmed my prognosis. Mzee una ka syndrome flani, tafuta msaada

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Jamii forum ni jukwaa la watu wa rika mbalimbali, na status tofauti, kuna wasomi wa ngazi mbalimbali, yawezekana hadi maprof. nao wamo humu, kuna watu wenye imani katika dini zao na hivyo wanadumisha maadili yao. Jamii forum sio jukwaa la kihuni; ni jukwaa la heshima (kuheshimiana), na kubwa zaidi, wote tuliomo humu ni watu wazima. Ni aibu kubwa sana kutukanana na kupeana maneno yasiyo na staha. Tudumishe upendo na amani kwenye jukwaa letu la kuhabarishana.
 
Back
Top Bottom