Kwangu Mimi Manyerere Jackton aliyepata 'Masters' yake SAUT juzi ndiyo Msomi na siyo wale 'Wasanii' Wawili waliopata 'PhD's' zao za UDOM hivi karibuni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,176
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
 
"Kwangu Mimi Manyerere Jackton aliyepata 'Masters' yake SAUT juzi ndiyo Msomi na siyo wale 'Wasanii' Wawili waliopata 'PhD's' zao za UDOM hivi karibuni"

Nimepata swali hapo lakuuliza kwenye hiyo heading yako, mengine yoooote kuhusu SAUT ni sawa,ukisoma hapo hauta juta ni zaidi ya chuo.

Sasa niambie kwa hao PHD holders wa UDOM nani wakubezwa hapo walio fanya utafiti na kutoa PHD ama walio pokea.
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Je Suits at work
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.

Hiyo Saut ndio chuo gani mkuu
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Kupokea cheti ni jambo moja na kuleta matokea kutokana na cheti ni jambo lingine.
mimi wa chuo cha TAIFA nilifundishwa kuleta matokeo, kwa hio kumshangilia mtu ambae bado haja leta matokeo ni sawa na kushangilia mafanikio ya mtoto mchanga.
Learn to celebrate an outcome/results not input and process.
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Sijui ungesomaga SUA ungesemaje
 
Sijui ungesomaga SUA ungesemaje
Angefikaje SUA Sasa huyo kilaza? Kwenda SAUT ni ishara kwamba hakuwa na qualification hata ya kwenda VETA! Angalia hata namna ya uandishi wake humu utagundua ni jitu jiupe kichwani.
Lenyewe linajiitaga Karismatic Fela.......Daah! Elimu nchii hii imepigwa na kitu kizoto hadi basi. Huku Musukuma kule GENTAMYCINE.
 
Back
Top Bottom