Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,562
- 3,710
Mwamba ni wa kitambo,
Ameshuhudia mengi, kabla hajawa raisi na hata baada, na hata baada ya kukiachia kiti Mwamba inasemekana alipendekezwa kitambo sana na wenye akili aje aliongoze hili taifa
Mwamba anongozwa na akili na si mihemko na ndio maana nadra kusikia kafanya maamuzi ya hovyo
Mwamba anasemwa sana at sometimes mara asifiwe mara akumbukwe lakin ana-smile tu , hata matusi pia at sometimes hutukanwa mpaka unaweza jiuliza mwamba hasikii but this mwamba he's intelligent & wise hasukumwi na mihemko
Lakin yote kwa yote naamini anawapenda Watanzania that's why he ignores
Kuna mengi mazuri ya huyu mtu mtu
Mheshimiwa Kikwete kabla hujaondoka siku moja tungependa tusome kitabu chako kwa hakika kuna mengi mazuri tunaweza jifunza hususa namna ya kuishi na watu
Forever u will be remembered na sisi Watanzania wanafki
Nb/Simjui hanijui na mimi wala si chawa tuheshimiane tafadhari😂😂
Ameshuhudia mengi, kabla hajawa raisi na hata baada, na hata baada ya kukiachia kiti Mwamba inasemekana alipendekezwa kitambo sana na wenye akili aje aliongoze hili taifa
Mwamba anongozwa na akili na si mihemko na ndio maana nadra kusikia kafanya maamuzi ya hovyo
Mwamba anasemwa sana at sometimes mara asifiwe mara akumbukwe lakin ana-smile tu , hata matusi pia at sometimes hutukanwa mpaka unaweza jiuliza mwamba hasikii but this mwamba he's intelligent & wise hasukumwi na mihemko
Lakin yote kwa yote naamini anawapenda Watanzania that's why he ignores
Kuna mengi mazuri ya huyu mtu mtu
Mheshimiwa Kikwete kabla hujaondoka siku moja tungependa tusome kitabu chako kwa hakika kuna mengi mazuri tunaweza jifunza hususa namna ya kuishi na watu
Forever u will be remembered na sisi Watanzania wanafki
Nb/Simjui hanijui na mimi wala si chawa tuheshimiane tafadhari😂😂