chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,568
Kikwapa Tutatumia spry labda
Za mdomo mbona zipo
Kikwapa Tutatumia spry labda
kwa nini umebadili avatar ??
Ingawa kuna magonjwa yanayoweza sababisha mtu akawa anatoa harufu mbaya mdomoni lakini mimi nina amini kwamba idadi kubwa ya watu hawajui tu namna ya kusafisha vinywa vyao.
Nasema hivyo kwa sababu hata wewe hapo ulipo ukijaribu kuuliza waliokuzunguka kama huwa wana floss meno yao au kama huwa wanakwangua ndimi zao uwezekano wa kupewa jibu la hapana ni mkubwa sana.
Na kukwangua ulimi kwa kikwangua ulimi ni tofauti na kubrashi ulimi kwa kutumia mswaki.
nimekapenda tu hako kapicha
Za mdomo mbona zipo
Sasa kabla ya kuvunja ungo ulikuwa unavutiwaje?
Mimi mnywa mnazi nisingekupata,aseee.....!
Alafu jiangalie na ww kama hunuki harufu ya mdomo na uchi ni ngumu mtu kujigundua..
Alafu jiangalie na ww kama hunuki harufu ya mdomo na uchi ni ngumu mtu kujigundua..
Te te te..baadhi ya nchi ambazo kuna baridi watu nasikia wanaoga mara mbili kwa wiki...katika harakati za ku save kulipa bili za gesi...
Sasa ukitumia public transport utakomaje...
Well mimi sijawahi kutana na hizi harufu...but nimesikia hili sana....ni sawa na kupishana na homeless
nishauri niweke picha gani na mimi
Te te te..baadhi ya nchi ambazo kuna baridi watu nasikia wanaoga mara mbili kwa wiki...katika harakati za ku save kulipa bili za gesi...
Sasa ukitumia public transport utakomaje...
Well mimi sijawahi kutana na hizi harufu...but nimesikia hili sana....ni sawa na kupishana na homeless
Nimeishi huko kwao mkuu miaka mingi tu kiasi cha kutambua kuwa huo utetezi wa gharama za malipo ya gesi ni uongo tu, mbona mimi niliweza kupay bills bila kikwazo hicho...
Ndani ya mwaka mzima msimu wa baridi huwa ni miezi mitatu hadi minne, lakini unakuta mtu ana uvundo karibu mwaka mzima...
Halafu usiombe ukutane na hao watu nyakati zile za summer...yeleuwiiii unaweza ukamuomba Mungu asimamishe mshale wa pumzi ili walau usiwe unavuta hewa...
Can you imagine unaingia sehemu kama mall au airport unakutana na hewa iliyojaa uvundo, yaani ni kama hewa yote ya oksijeni imetekwa na harufu ya uvundo wa miili yao...
Sasa hiyo tisa, kumi ni pale anapokusogelea ili afanye nawe mazungumzo...arrrgggghhh mdomo unatoa harufu ya ajabu ajabu yenye kuchanganyika na mabaki ya chakula yaliyooza maana hawa jamaa huwa hawana udamaduni wa kupiga mswaki mara kwa mara halafu ni wavutaji wakubwa wa sigara...
Ngoja tu nisiandike mengi...ila hawana cha kujitetea
miaka mi 3 na nusu
Ushawahi panda daladala wewe?
Au ushawahi kwenda magengeni kununua bidhaa za kupikia?
Hiyo ya kuoga mara mbili kwa wiki kisa kuogopa bill itakuwa exaggeration tu.
Bottom line ni usafi wa mtu tu.
Watanzania wengi wasafi..ukiondoa makonda...lakini wazungu...mmmmnnnnhhhhhh.....ni watu wa kupiga passport...wenyewe wanasema wanaji sponji....