Kwangu harufu ilikua ni kigezo namba moja

Kwangu harufu ilikua ni kigezo namba moja

Unpleasant odour is a huge turn off..
 
He is a natural troublemaker. Mom says when we were still in her womb one of us used to throw kicks so much that she got awfully concerned.



Some nutcase wanted to make a name for himself and got mouthy with him and he clocked him right on the kisser.

But he's got a hearing today and hopefully he'll be home before the weekend is over because the whole thing was caught on surveillance camera and he ain't the one who started it.
Poor Ma.
Well I wish him luck. Doubt he's gonna need it anyway.
 
Kama akitokea mtu mwenye harufu nzuri kuishinda ya mumeo aaaahhh haraka sana unamkubareeeeeee

big noooooooo,my husbund ni noumaaaaa,hakuna wa kumshinda aisee yule baba ni msafi sana hiyo sekta mana mwenyewe anajua pua zangu ni sinsitive sanaa,,,
 
Leo ndio nasikia mara ya kwanza kuwa mdomo una harufu nzuri...

Najua kuna wanaonuka midomo yes...

Lakini harufu nzuri inatoka wapi...natural, mouth wash au ametoka kula bigjiii au pilau?

Ma dentist tusaidieni jameni...isije kuwa ni hisia tu

Kwa uelewa wangu mdomo unabaki na harufu ya ulichokula au dawa ulotumia kuusafisha au unakuwa smellless kama hujala kitu...

Na wanuka midomo sidhani kama ni wengi kihiiivyo...
 
Labda inapigwa unyunyu...


Usiniulize how

Leo ndio nasikia mara ya kwanza kuwa mdomo una harufu nzuri...

Najua kuna wanaonuka midomo yes...

Lakini harufu nzuri inatoka wapi...natural, mouth wash au ametoka kula bigjiii au pilau?

Ma dentist tusaidieni jameni...isije kuwa ni hisia tu

Kwa uelewa wangu mdomo unabaki na harufu ya ulichokula au dawa ulotumia kuusafisha au unakuwa smellless kama hujala kitu...

Na wanuka midomo sidhani kama ni wengi kihiiivyo...
 
big noooooooo,my husbund ni noumaaaaa,hakuna wa kumshinda aisee yule baba ni msafi sana hiyo sekta mana mwenyewe anajua pua zangu ni sinsitive sanaa,,,

Hapo nimekusoma looo
 
Te te te she is always 'too close for comfort'....katika harakati zake za unusaji

Halafu, hivi mtu unanusaje harufu ya mdomo wa mwingine?

If anything I always try not to smell people's odor of any kind by holding my breath because if there is something I can't stand, then foul odor is at the top of the list.
 
big noooooooo,my husbund ni noumaaaaa,hakuna wa kumshinda aisee yule baba ni msafi sana hiyo sekta mana mwenyewe anajua pua zangu ni sinsitive sanaa,,,
Hakuna wa kumshinda??!!!na wangu ni msafi sana na nahisi kamshinda wako lol....
 
Leo ndio nasikia mara ya kwanza kuwa mdomo una harufu nzuri...

Najua kuna wanaonuka midomo yes...

Lakini harufu nzuri inatoka wapi...natural, mouth wash au ametoka kula bigjiii au pilau?

Ma dentist tusaidieni jameni...isije kuwa ni hisia tu

Kwa uelewa wangu mdomo unabaki na harufu ya ulichokula au dawa ulotumia kuusafisha au unakuwa smellless kama hujala kitu...

Na wanuka midomo sidhani kama ni wengi kihiiivyo...

Mmmmhhh kuna watu wananuka midomo nadhani ni ugonjwa ila wakipata matibabu wanakuwa vizuri ......
Mleta uzi hapa anamaanisha mdomo unaonukia vizuri sio smell ya pilau mdomoni au ya maharage au sio Madam G
 
Last edited by a moderator:
big noooooooo,my husbund ni noumaaaaa,hakuna wa kumshinda aisee yule baba ni msafi sana hiyo sekta mana mwenyewe anajua pua zangu ni sinsitive sanaa,,,

Mapenzi upofu ukimpenda mwanaums husikii harufu yoyote mbayaa,hata ukiisikia utamsafisha na kumrekebishaaaa
 
Mimi nina utundu wa kijifunza culture za mataifa mbali mbali...

Kuna watu ni tabia mbaya kumsogelea mtu...unatoa mkono ukiwa ume maintain certain distance...

Sasa sijui angenusaje...

Hata Tz hatuna tabia ya kumsogelea mtu sana wakati wa salamu...hiyo tabia wanayo Latin Americans sababu wana hug...

Sasa mwenzetu sijui zoezi hili analiendeshaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom