Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Sasa mwenzetu sijui zoezi hili analiendeshaje?
labda anafanya kama le mutuz anakuwa kama anapiga picha
Sasa mwenzetu sijui zoezi hili analiendeshaje?
Wangu sasa ndio kawashindeni wakwenu wote...hata mkimuita na wa Badili Tabia...wote anawagalagaza...lol
Mimi nina utundu wa kijifunza culture za mataifa mbali mbali...
Kuna watu ni tabia mbaya kumsogelea mtu...unatoa mkono ukiwa ume maintain certain distance...
Sasa sijui angenusaje...
Hata Tz hatuna tabia ya kumsogelea mtu sana wakati wa salamu...hiyo tabia wanayo Latin Americans sababu wana hug...
Sasa mwenzetu sijui zoezi hili analiendeshaje?
Mtu wa hivo usiombe kumsapraiz ha ha ha mchafu ka bata sijui unafanyaje!!!Hahaaaaaaaaaa tena wameula haswa....
Mmmmhhh kuna watu wananuka midomo nadhani ni ugonjwa ila wakipata matibabu wanakuwa vizuri ......
Mleta uzi hapa anamaanisha mdomo unaonukia vizuri sio smell ya pilau mdomoni au ya maharage au sio Madam G
Pote.........
Kwa kuropoka shudu tuu, umeshindikana kijana.
kwani huyo mumeo akiamka asubuhi au saa kumi usiku akitaka gemu ananukiaje mdomo? au akinywa pombe ananukiaje mdomo?
thubutuuuu,hata huko tunaanzaje kufika??
Ingawa kuna magonjwa yanayoweza sababisha mtu akawa anatoa harufu mbaya mdomoni lakini mimi nina amini kwamba idadi kubwa ya watu hawajui tu namna ya kusafisha vinywa vyao.
Nasema hivyo kwa sababu hata wewe hapo ulipo ukijaribu kuuliza waliokuzunguka kama huwa wana floss meno yao au kama huwa wanakwangua ndimi zao uwezekano wa kupewa jibu la hapana ni mkubwa sana.
Na kukwangua ulimi kwa kikwangua ulimi ni tofauti na kubrashi ulimi kwa kutumia mswaki.
Sipendi kurundika rundika watu kwenye mafungu lakini kama wewe ni mwenda gym basi uwe unakaa mbali na Wahindi aisee.
Wale jamaa sijui ndo utamaduni wao kutopaka viondoa harufu (deodorant)....
Sasa na zile curry wanazokula wakitokwa jasho huwa ni balaa.
Binafsi sijui nina bahati mbaya au vipi....
Kuna wakati nilipanda ndege ya Emirates daraja la coach na seat mate wangu akiwa Mhindi.
Ebwana mbona nilikoma siku hiyo. Sijawahi kuwa na safari ndefu kama ile.
Jamaa kikwapa chake kilikuwa kinatema balaa. Halafu kila baada ya masaa kadhaa alikuwa ananyanyua mikono yake na ku stretch.
Sijawahi kuteseka maishani kama siku hiyo.
Nikiwa gym kila nikiona Mhindi anakuja nilipo naondoka. Jamaa huwa wananukisha gym kinoma.
hapana nimekuona na wewe
don't call me a racist...
hapa duniani sijawahi kukutana na watu wanaonuka kila mahali mwilini mwao kama WACHINA...
damnnnnn!!!!
hahaha aibu yako