Ole jaminati
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 226
- 200
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo
Kama kweli hao wakijan wanakubalika hebu tuwe na tume huru ya uchaguzi hapo ndo tutajua ukweli wa hayo mafurikoNawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
CCM ni habari nyingine na Hakuna kama SamiaNawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Kama hamna watu hata kama Mbowe atakuwa mkt wa tume tutawapiga tuKama kweli hao wakijan wanakubalika hebu tuwe na tume huru ya uchaguzi hapo ndo tutajua ukweli wa hayo mafuriko
Kwa uongo CHADEMA inatunyima usingizi ss CCM,, mm mwenyewe ni CCMChadema yupi?
Lissu mwenyewe ni CCM tayari mbajua?
Hujataja na Polisi wenu, na genge la watekajiNawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Wanaujua moto wa Chadema,wanajipa moyo imekufa.Chadema wangekuwepo huko polis wangekua bize kuwabambikia kesi
Maneno ya mwl. Wa darasa la uongoziCCM ni habari nyingine na Hakuna kama Samia
CCM CCM CCM !Muone aibu baasi.Hiyo nyomi unayo isema umelinganisha na nani?CHADEMA imejitoa mnafanya kampeni za nini?Mnaharibu resources bure uchaguzi tumeshawaachijia mnahangaika tena na CHADEMA ya nini?Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Ona hata aibu mkuu.Acha siasa za kimalaya zungumza ule ukweli wako wa moyo.CCM kwenye uchaguzi huu mnashindana na nani?Kwanini mfanye kampeni?CCM ni habari nyingine ukilinganisha na nani?CCM ni habari nyingine na Hakuna kama Samia
Sasa washindane na polcccm, kwani hawaishi maigizoCCM CCM CCM !Muone aibu baasi.Hiyo nyomi unayo isema umelinganisha na nani?CHADEMA imejitoa mnafanya kampeni za nini?Mnaharibu resources bure uchaguzi tumeshawaachijia mnahangaika tena na CHADEMA ya nini?
Ni hivi CHADEMA hatutaki uchaguzi wowote ,fanyeni yote mnayotaka.
Kampeni mko mpekee yenu halafu mnaita huo ni uchaguzi unashindana na nani
Polis wetu ni bora sana dunianiUmew
Umewasahau wadau /washikadau muhimu, polccm, neck/shingo,karani wa viama/chungu kumesa achana na timu kijani inayoicheza ngoma yenyewe, hapo Kuna nini, uwanja sawia uko wapi? Au kujazana upepo tuu?
Ona hata aibu mkuu.Acha siasa za kimalaya zungumza ule ukweli wako wa moyo.CCM kwenye uchaguzi huu mnashindana na nani?Kwanini mfanye kampeni?CCM ni habari nyingine ukilinganisha na nani?
Acha ushamba !!
Nakubaliana na weweRAI KWA MAMA SAMIA SULUHU,
PATROBAS KATAMBI
HUSSEIN BASHE
WAANGALIWE KWA JICHO LA UWAZIRI KAMILA WANAJITUMA SANA HAWA VIJANA TUKIKAA KIMYA HATA MAWE YATASEMA,
Chadema Chali kifo cha Mende in Lipumba 's voiceMpaka sasa Fc matobolwa mmeweka mpira kwapani...
Anzeni kwanza kuandika yakwenu ya kiongozi kutawala mileleKikubwa mkuu hapa tudai katiba mpya tu, mengine yote tutapoteza muda mkuu
Upumbavu tu !!!Chadema haipo kwenye uchaguzi!!Kwanini unaizungumzia ?Zungumzia washindani wenu ACT.Chadema Chali kifo cha Mende in Lipumba 's voice
Hatutaki uchaguzi huo.Hatutaki dhuruma hizo.Hatuna hela ndiyo ,chama kimeshakufa ndiyo.Endelea na maisha yako .CHADEMA hayupo kwenye uchaguzi kinacho kuuma ni kipi ,mpinzani wako ni ACT zungumza kuhusu huyo.K
Kwani nani kawazuia kuja kushiriki, Chadema hamna hela tunajua
Wewe mpumbavu kweli, upuuzi huu ndiyo wa kujivunia.