SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Unang'aka nini na hayo ndiyo maisha uliyoyachagua mwenyewe?Endelea kufurahisha nafsi yako mkuu.....
Unang'aka nini na hayo ndiyo maisha uliyoyachagua mwenyewe?Endelea kufurahisha nafsi yako mkuu.....
Unaakili kidogo Sana wewe jamaaUnang'aka nini na hayo ndiyo maisha uliyoyachagua mwenyewe?
Jamaa anapenda sana lugha za matusi na dhihaka....Unaakili kidogo Sana wewe jamaa
Hivi kweli wanafanya kampeni ya nini ili iweje uharibifu wa raclimali hiyo bajeti ya kampeni mngewajenge watoto wa shule wa hiyo wilaya matundu ........ooooooMoto wakati hamtaki uchaguzi huru, hamtaki katiba mpya, hamtaki siasa shindani, Hamtaki siasa safi!!
Chanjo, Tozo na siasa za ugaidi zitawatokea puani 2025.!!
Dada tuliza muhaho,yani mnashindana wenyewe ccm halafu mnajitangaza...cdm haina muda na chaguzi za necccmNawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Chadema moto wa kuotea mbali, yaani wakiruhusiwa kufanya siasa hawa nchi itakuwa ngumu
Nani kawazuia kufanya siasa,Chadema moto wa kuotea mbali, yaani wakiruhusiwa kufanya siasa hawa nchi itakuwa ngumu
Comment Of the day
Wewe ni taahira kabisaaaaaUnaakili kidogo Sana wewe jamaa
Sitaki mazoea na watu wa dizaini yako. Mimi ni mcha Mungu.Jamaa anapenda sana lugha za matusi na dhihaka....
Nimeshamzoea komredi wangu
Wewe ungekuwa na pesa ungeishi maisha ya kulamba wakubwa viatu. Lofa tu wewe.Nani kawazuia kufanya siasa,
Shida hamna pesa kuweni wakweli
Unachoweza ni MATUSI na kuwasingizia mabaya wengine....🤣Wewe ni taahira kabisaaaaa
Kama hamna watu hata kama Mbowe atakuwa mkt wa tume tutawapiga tu
azuia Nkufanya siasa,
Shida hamna pesa kuweni wakweli
Unachoweza ni MATUSI na kuwasingizia mabaya wengine....🤣
Hongera mzee wa matusi....ila matusi hayauzwi dukani....
Matusi hayauzwi mkuu....Huyo choko mwenzako si ndiye alianza kunitukana na wewe ukashabikia. Mimi namuona wewe kama changudoa tu
Unatafuta basha wewe nishakuonaMatusi hayauzwi mkuu....
Unazidi kuuonyesha "ujuha" wako mbele za watu wastaarabu....yaani duniani tuko bilioni 7....unayajua matusi peke yako tu?!!!
Toka uanze kunitukana nimerudi nyuma?!!
Endelea kuyaibua matusi mengine....endelea....nayasubiri mkuu....
Umezunguuka wee kuyatafuta matusi mapya na kulipata hilo?!!🤣Unatafuta basha wewe nishakuona