Kwamoto huu wa CCM Ushetu CHADEMA mlikuwa sawa kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "

Moto wakati hamtaki uchaguzi huru, hamtaki katiba mpya, hamtaki siasa shindani, Hamtaki siasa safi!!

Chanjo, Tozo na siasa za ugaidi zitawatokea puani 2025.!!
Hivi kweli wanafanya kampeni ya nini ili iweje uharibifu wa raclimali hiyo bajeti ya kampeni mngewajenge watoto wa shule wa hiyo wilaya matundu ........oooooo
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,

Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,


#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,

View attachment 1968408
Dada tuliza muhaho,yani mnashindana wenyewe ccm halafu mnajitangaza...cdm haina muda na chaguzi za necccm
 
Huyo choko mwenzako si ndiye alianza kunitukana na wewe ukashabikia. Mimi namuona wewe kama changudoa tu
Matusi hayauzwi mkuu....

Unazidi kuuonyesha "ujuha" wako mbele za watu wastaarabu....yaani duniani tuko bilioni 7....unayajua matusi peke yako tu?!!! 🤣

Toka uanze kunitukana nimerudi nyuma?!!

Endelea kuyaibua matusi mengine....endelea....nayasubiri mkuu....🤣
 
Matusi hayauzwi mkuu....

Unazidi kuuonyesha "ujuha" wako mbele za watu wastaarabu....yaani duniani tuko bilioni 7....unayajua matusi peke yako tu?!!!

Toka uanze kunitukana nimerudi nyuma?!!

Endelea kuyaibua matusi mengine....endelea....nayasubiri mkuu....
Unatafuta basha wewe nishakuona
 
Unatafuta basha wewe nishakuona
Umezunguuka wee kuyatafuta matusi mapya na kulipata hilo?!!🤣

Umekuja na hilo "ninatafuta basha"?!! Ha ha ha Kwa hiyo umeliona ndilo tusi jipyaaa kwa hasimu wako si ndio eee?!!

Endelea na matusi mengine....nitafutie yale mapyamapya yaliyoundwa huko mitaani asubuhi ya leo....nasubiri mkuu 🤣🤣
 
Back
Top Bottom