Mpiga debe ni mmoja wapo au yupo mpiga debe kwa niaba?RAI KWA MAMA SAMIA SULUHU,
PATROBAS KATAMBI
HUSSEIN BASHE
WAANGALIWE KWA JICHO LA UWAZIRI KAMILA WANAJITUMA SANA HAWA VIJANA TUKIKAA KIMYA HATA MAWE YATASEMA,
Mpiga debe ni mmoja wapo au yupo mpiga debe kwa niaba?RAI KWA MAMA SAMIA SULUHU,
PATROBAS KATAMBI
HUSSEIN BASHE
WAANGALIWE KWA JICHO LA UWAZIRI KAMILA WANAJITUMA SANA HAWA VIJANA TUKIKAA KIMYA HATA MAWE YATASEMA,
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Kikubwa mkuu hapa tudai katiba mpya tu, mengine yote tutapoteza muda mkuuUmew
Umewasahau wadau /washikadau muhimu, polccm, neck/shingo,karani wa viama/chungu kumesa achana na timu kijani inayoicheza ngoma yenyewe, hapo Kuna nini, uwanja sawia uko wapi? Au kujazana upepo tuu?
Mbona nyie mnakimbia uchaguzi?
Moto gani huo let's katiba mpya mzani ubalanceMoto huo umeuona?
Nani akimbie uchaguzi leteni katiba mpya mzani ubalanceMbona nyie mnakimbia uchaguzi?
Chadema mmekufa kifo kibaya sana aise
Hawa vijana nikweli wanajituma sana, Hata mimi naunga mkono hoja wanafaa kuwa mawaziri kamili kama itampendeza mama,Mpiga debe ni mmoja wapo au yupo mpiga debe kwa niaba?
Ndio nyie mkizidiwa ngumu mnalazima mvue viatu woteNani akimbie uchaguzi leteni katiba mpya mzani ubalance
Chadema yupi?Chadema anawanyima watu usingizi
Yaani wew mtoto wa Samia ni kilaza kweli kweli. Umesahau kuwa huyo mama yako akiwa Mbeya ktk uchaguzi alisema hata mkichagua wapinzani CCM itaunda Serikali? Polepole alisema ikiwepo tume huru CCM kabla ya ibada ya pili itakuwa imeanguka charii kifo Cha mende.Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408
Wamekula kona aise, Chadema khaaacdm wangetema nyongo, si kwa moto huu wa mama.
Hawa vijana nikweli wanajituma sana, Hata mimi naunga mkono hoja wanafaa kuwa mawaziri kamili kama itampendeza mama,
Leteni katiba mpya hapa mizani imbalance, maana nyinyi mnamapolisiccm,mnamigambo, mnajeshi alafu mnasema tumekimbia uchaguzi,Ndio nyie mkizidiwa ngumu mnalazima mvue viatu wote
Maneno ya jukwaani ni maneno tu njooni tuone awanyang'nye SamiaYaani wew mtoto wa Samia ni kilaza kweli kweli. Umesahau kuwa huyo mama yako akiwa Mbeya ktk uchaguzi alisema hata mkichagua wapinzani CCM itaunda Serikali? Polepole alisema ikiwepo tume huru CCM kabla ya ibada ya pili itakuwa imeanguka charii kifo Cha mende.
Utafiti wa kisayansi kwa mujibu wa shirika la Twaweza unaonesha kuwa CCM ni Chama Cha wajinga.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Ina maana Wasukuma bado hamuamini kama Magufuli ameshakufa?RAI KWA MAMA SAMIA SULUHU,
PATROBAS KATAMBI
HUSSEIN BASHE
WAANGALIWE KWA JICHO LA UWAZIRI KAMILA WANAJITUMA SANA HAWA VIJANA TUKIKAA KIMYA HATA MAWE YATASEMA,
ushamba tu huoLeteni katiba mpya hapa mizani imbalance, maana nyinyi mnamapolisiccm,mnamigambo, mnajeshi alafu mnasema tumekimbia uchaguzi,
Ina maana Wasukuma bado hamuamini kama Magufuli ameshakufa?
Huyo Katambi hata kura za maoni hakushinda , imagine wana ccm wenyewe walimkataa halafu ndio unaleta hii takataka? Samia hawezi kufanya upuuzi wa yule kichaa.
Huyo Bashe naye aache kuvunja ndoa za watu kwa sababu ya ukwasi alionao ni chukizo kwa Mungu.
Mkuu haya majitu ya ovyo sana, yana mapolisiccm alafu yanasema chadema wamekimbia uchaguzi, ukiishabikia ccm lazima kweli hakikisha umejitoa ufahamuYaani wew mtoto wa Samia ni kilaza kweli kweli. Umesahau kuwa huyo mama yako akiwa Mbeya ktk uchaguzi alisema hata mkichagua wapinzani CCM itaunda Serikali? Polepole alisema ikiwepo tume huru CCM kabla ya ibada ya pili itakuwa imeanguka charii kifo Cha mende.
Utafiti wa kisayansi kwa mujibu wa shirika la Twaweza unaonesha kuwa CCM ni Chama Cha wajinga.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,
Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,
#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,
View attachment 1968408kama kweli hao wakijan wanakubalika hebu tuwe na tume huru ya uchaguzi then tutaujua ukweli hayo mafuriko