Kwamoto huu wa CCM Ushetu CHADEMA mlikuwa sawa kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "

RAI KWA MAMA SAMIA SULUHU,


PATROBAS KATAMBI

HUSSEIN BASHE

WAANGALIWE KWA JICHO LA UWAZIRI KAMILA WANAJITUMA SANA HAWA VIJANA TUKIKAA KIMYA HATA MAWE YATASEMA,
Mpiga debe ni mmoja wapo au yupo mpiga debe kwa niaba?
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,

Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,


#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,

View attachment 1968408
Umew
Umewasahau wadau /washikadau muhimu, polccm, neck/shingo,karani wa viama/chungu kumesa achana na timu kijani inayoicheza ngoma yenyewe, hapo Kuna nini, uwanja sawia uko wapi? Au kujazana upepo tuu?
Kikubwa mkuu hapa tudai katiba mpya tu, mengine yote tutapoteza muda mkuu
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,

Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,


#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,

View attachment 1968408
Yaani wew mtoto wa Samia ni kilaza kweli kweli. Umesahau kuwa huyo mama yako akiwa Mbeya ktk uchaguzi alisema hata mkichagua wapinzani CCM itaunda Serikali? Polepole alisema ikiwepo tume huru CCM kabla ya ibada ya pili itakuwa imeanguka charii kifo Cha mende.
Utafiti wa kisayansi kwa mujibu wa shirika la Twaweza unaonesha kuwa CCM ni Chama Cha wajinga.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Yaani wew mtoto wa Samia ni kilaza kweli kweli. Umesahau kuwa huyo mama yako akiwa Mbeya ktk uchaguzi alisema hata mkichagua wapinzani CCM itaunda Serikali? Polepole alisema ikiwepo tume huru CCM kabla ya ibada ya pili itakuwa imeanguka charii kifo Cha mende.
Utafiti wa kisayansi kwa mujibu wa shirika la Twaweza unaonesha kuwa CCM ni Chama Cha wajinga.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Maneno ya jukwaani ni maneno tu njooni tuone awanyang'nye Samia
 
RAI KWA MAMA SAMIA SULUHU,


PATROBAS KATAMBI

HUSSEIN BASHE

WAANGALIWE KWA JICHO LA UWAZIRI KAMILA WANAJITUMA SANA HAWA VIJANA TUKIKAA KIMYA HATA MAWE YATASEMA,
Ina maana Wasukuma bado hamuamini kama Magufuli ameshakufa?

Huyo Katambi hata kura za maoni hakushinda , imagine wana ccm wenyewe walimkataa halafu ndio unaleta hii takataka? Samia hawezi kufanya upuuzi wa yule kichaa.

Huyo Bashe naye aache kuvunja ndoa za watu kwa sababu ya ukwasi alionao ni chukizo kwa Mungu.
 
Ina maana Wasukuma bado hamuamini kama Magufuli ameshakufa?

Huyo Katambi hata kura za maoni hakushinda , imagine wana ccm wenyewe walimkataa halafu ndio unaleta hii takataka? Samia hawezi kufanya upuuzi wa yule kichaa.

Huyo Bashe naye aache kuvunja ndoa za watu kwa sababu ya ukwasi alionao ni chukizo kwa Mungu.


But Samia hana Roho kama yako, Samia ni mcha Mungu na anajua mchango wa Patrobas na Bashe
 
Yaani wew mtoto wa Samia ni kilaza kweli kweli. Umesahau kuwa huyo mama yako akiwa Mbeya ktk uchaguzi alisema hata mkichagua wapinzani CCM itaunda Serikali? Polepole alisema ikiwepo tume huru CCM kabla ya ibada ya pili itakuwa imeanguka charii kifo Cha mende.
Utafiti wa kisayansi kwa mujibu wa shirika la Twaweza unaonesha kuwa CCM ni Chama Cha wajinga.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mkuu haya majitu ya ovyo sana, yana mapolisiccm alafu yanasema chadema wamekimbia uchaguzi, ukiishabikia ccm lazima kweli hakikisha umejitoa ufahamu
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Hebu angalia mwenyewe mafuriko ya watu Ushetu kwenye Kuhitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo wa jimbo la Ushetu kumtafuta mrithi wa aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa Mhe Elias Kuandikwa,

Uchaguzi huo mdogo utafanyika kesho Trh 09|10|2021 Ukiwahusisha wagombea wa wawili washindani wa vyama vya CCM na ACT Wazalendo ikiwa ni baada ya Chadema kususia Uchaguzi huo,


#Chagua Emmanuel Cherehani kwa Maendeleo ya Jimbo la Ushetu,

View attachment 1968408kama kweli hao wakijan wanakubalika hebu tuwe na tume huru ya uchaguzi then tutaujua ukweli hayo mafuriko
 
Back
Top Bottom