Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,589
- 1,681
Kwamba raia ni kigeugeu, na kwamba pamoja na udidimiaji wa wazi wa haki za binadamu katika awamu hii, isipokuwa ikiwa Rais ataleta maendeleo makubwa katika kipindi chake, watu watasahau maovu yote na kumsifu hata pengine kum miss ajapo mwengine 'mpole'?
Na si kweli kuwa kutokana na kufahamu hivi, ndipo watawala hufanya maovu yeyote kwa hoja ya kuwapatia Maisha bora raia?
Hebu niambie, baada ya miaka mitano Stigglers Gorge ikawa imekwisha, reli ya umeme hadi Kigoma imekwisha, Pato la Serikali likafikia dola bilioni 100 kutoka 60 hivi sasa, na pato la mtu likafikia dola 2000 kutoka 1100 sasa je kuna atakayekumbuka uchaguzi haukuwa huru au Tundu Lissu alipigwa risasi, na Lema ilibidi akimbie nchi?
Nani anayekumbuka hivi sasa kuwa ili kufika ilipofikia China hivi sasa, takriban binadamu milioni 300 walikufa kwa njaa na mateso mengine wakati wa Cultural Revolution?
Na hata siye wenyewe Tanzania, nani anayekumbuka excess za Ujamaa kiasi watu waliliwa na Wanyama pori na njaa kubwa iliyosababisha foleni ndefu za chakula? Tumeyasahau hayo ingawaje hata hatukufanyiwa kama ambayo yanaweza kufanyika chini ya uongozi huu?
Ama kweli raia kigeugeu!
Na si kweli kuwa kutokana na kufahamu hivi, ndipo watawala hufanya maovu yeyote kwa hoja ya kuwapatia Maisha bora raia?
Hebu niambie, baada ya miaka mitano Stigglers Gorge ikawa imekwisha, reli ya umeme hadi Kigoma imekwisha, Pato la Serikali likafikia dola bilioni 100 kutoka 60 hivi sasa, na pato la mtu likafikia dola 2000 kutoka 1100 sasa je kuna atakayekumbuka uchaguzi haukuwa huru au Tundu Lissu alipigwa risasi, na Lema ilibidi akimbie nchi?
Nani anayekumbuka hivi sasa kuwa ili kufika ilipofikia China hivi sasa, takriban binadamu milioni 300 walikufa kwa njaa na mateso mengine wakati wa Cultural Revolution?
Na hata siye wenyewe Tanzania, nani anayekumbuka excess za Ujamaa kiasi watu waliliwa na Wanyama pori na njaa kubwa iliyosababisha foleni ndefu za chakula? Tumeyasahau hayo ingawaje hata hatukufanyiwa kama ambayo yanaweza kufanyika chini ya uongozi huu?
Ama kweli raia kigeugeu!