Kwakweli ni siku za mwisho

Mawazo mgando hayo..! Wema kufanya Ibada ya Kitubio kwa Mungu, Jamii inashangaa vp Samata alieenda kuhiji Macca Jamii ilimpongeza Je, Samata hana dhambi mbona hamshangai? " Kizuri kisifiwe, Kibaya kikemewe." Wema kama ndio muda wako sahihi wa kufanya kitubio fanya, mbele za Mungu utasimama pekeako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…