ZING SOKONI
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,512
- 57,105
Haya maisha Aisee.
Tumshukuru tu kwa yote...mema na mabaya yote yanatoka kwakeHapa ndipo maswali mengi yanaibuka kuhusu muumba we mbingu na nchi, mwenye-enzi yote na uwezo wote. Ukifikiria sana unaweza kuvuka mipaka...
Vizuri.Selikali ya jamhuri ya muungano wa TANZANIA imejitolea kumlea na kumsomesha mfiwa.
Mungu ana msaada gani kwa huyo binti kama yeye ndie alieamua kuvhukua familia yake nzima
Watu wengine mngekuwa jeshini mngekina cha moto... Yani mwenzako anamachungu ya kufuwa na wazazi pamoja na ndugu wewe unangangana na camera...!
Turia weweeWatu wengine mngekuwa jeshini mngekina cha moto... Yani mwenzako anamachungu ya kufuwa na wazazi pamoja na ndugu wewe unangangana na camera...!
Nilkuwa nafikira kama hizo lakini nikaja kutambua kuwa ni bahati sana kuteuliwa na mwenyezi mungu na kukufanya chombo cha msaada kwa mwenzako.Kitendo cha kujenga imani ya kwamba sisi ndio watoa msaada na si mwenyezi Mungu kupitia kwetu,kimeufanya msaada wa kibinadamu uwe wa kibaguzi na hauzai matunda ya baraka.Hata mimi nina hiyo sera ya kumsaidia aliyenisaidia, sio walime wengine halafu waje kuvuna wengine.