Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,344
- 8,267
uzi umerudiWatu wa shenzi sana
Naunga mkono hojaKwako waziri wa Ajira Yah: Matatizo katika mfumo wa Sekretarieti ya Ajira.
Kwako Waziri wa Ajira,
Natumai unaendelea vyema na shughuli zako za kila siku.
Mh. waziri Lengo la kukuandikia barua hii ya wazi ni kukueleza changamoto zinazowakumba Watanzania wanaojaribu kufanya maombi ya kazi katika mfumo wa Sekretarieti ya Ajira.
Swala hili limekua ni kero ambapo watanzania wamekuwa wakizuiwa kufanya maombi ya nafasi ambazo wanavigezo.
Baada ya kuweza kufanya maombi kwa muda, mrefu katika mfumo huo nimeweza kubaini matatizo yafuatayo ya kiufundi.
1. Mfumo hauruhusu mwenye degree kuapply kazi zinazohitaji diploma hata akiwa na cheti cha diploma, pia hauruhusu mwenye masters kuapply kazi zinazohitaji degree hata akiwa na degree.
2. Mfumo hauruhusu mtu kufuta kama akikosea kujaza taarifa, hauruhusu kabisa. Tofauti na mifumo mingine ya ajira.
Mh. Waziri mimi nahisi matatizo haya yanatokana pengine na utaalamu unaotumika kuendesha mfumo una madhaifu na kwa maana hiyo unahitaji marekebisho ili uweze kufanya kazi vizuri.
Mh. Waziri hivyo lengo kuu kabisa la barua hii ni tunaiomba serikali iweke watu wenye uwezo ili kurahisha utumaji wa maombi na kutatua changamoto hizo.
Ahsante.
Weka ushahidi tuone maana usilalamike tu Boss.. weka ushahidi hapaPortal naona ni mfumo pendeleo sana sijawah kua shortlisted, na hawasemi nn tatizo inaandika Received tu
Hili mimi silijui, nadhani ni mambo ya kiufundi tuPortal naona ni mfumo pendeleo sana sijawah kua shortlisted, na hawasemi nn tatizo inaandika Received tu
Mfumo wao ni Janga la Kitaifa na kurudisha maendeleo ya Vijana nyuma. Una Edit cheti unaambiwa Successful uploaded. Hakuna pa delete Cheti ulichoweka kimakosa. Wanakomaa nacho, Majibu ya kazi yakitoka unaambiwa hujakuwa Shortlisted hujaweka Cheti Cha form Six. Wanasahau uliweka Kwa Edit na wakakubali Uploaded. Ukirudi Edit unakiona Tena kile ulichoweka kimakosa. Hivi hapa Kuna watalaam wa ICT au wanawatumia Hr kutengeneza System? Waziri tafadhali mulika hao IT wa Ajira Portal hawafanyi kazi Ipasavyo. Wako hapo kuzima ndoto zetu za kujaribu Ajira za SerikaliKwako waziri wa Ajira Yah: Matatizo katika mfumo wa Sekretarieti ya Ajira.
Kwako Waziri wa Ajira,
Natumai unaendelea vyema na shughuli zako za kila siku.
Mh. waziri Lengo la kukuandikia barua hii ya wazi ni kukueleza changamoto zinazowakumba Watanzania wanaojaribu kufanya maombi ya kazi katika mfumo wa Sekretarieti ya Ajira.
Swala hili limekua ni kero ambapo watanzania wamekuwa wakizuiwa kufanya maombi ya nafasi ambazo wanavigezo.
Baada ya kuweza kufanya maombi kwa muda, mrefu katika mfumo huo nimeweza kubaini matatizo yafuatayo ya kiufundi.
1. Mfumo hauruhusu mwenye degree kuapply kazi zinazohitaji diploma hata akiwa na cheti cha diploma, pia hauruhusu mwenye masters kuapply kazi zinazohitaji degree hata akiwa na degree.
2. Mfumo hauruhusu mtu kufuta kama akikosea kujaza taarifa, hauruhusu kabisa. Tofauti na mifumo mingine ya ajira.
Mh. Waziri mimi nahisi matatizo haya yanatokana pengine na utaalamu unaotumika kuendesha mfumo una madhaifu na kwa maana hiyo unahitaji marekebisho ili uweze kufanya kazi vizuri.
Mh. Waziri hivyo lengo kuu kabisa la barua hii ni tunaiomba serikali iweke watu wenye uwezo ili kurahisha utumaji wa maombi na kutatua changamoto hizo.
Ahsante.
Vuta subra utakuwa shortlistedPortal naona ni mfumo pendeleo sana sijawah kua shortlisted, na hawasemi nn tatizo inaandika Received tu
Na ninafikiri hizo changamoto ndio fursa kwa wenginePortal naona ni mfumo pendeleo sana sijawah kua shortlisted, na hawasemi nn tatizo inaandika Received tu