Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,636
Madam, kuna wanawake wengi wanakutazama kama “role model”. Ila unanikwaza sana unapokwepa kutamka kwamba ulipata ujauzito ulipokua na miaka 14....Please be bold & say it....ili hata wanaopata mimba ya utoto wajue kwamba huo sio mwisho wa ndoto zao....Nimeona interview yako kwenye TV ila unadai “you were 14 with a mind of a 40 year old”....Asiefahamu hawezi kutambua matatizo uliyopata....Embu weka wazi...wewe ni inspiration kwa watu wengi hapa Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app