Kwako Balozi Dkt. Wilbroad Peter Slaa

Haya yote Magufuli anayashughulikia.
Ufisadi wa Magofuli hata wahi kulingana na ufisadi wa Lowasa.

Na ndiyo maana alisema nafuu huyu kuliko yule.
Mchawi mpe mtoto amlee,bado aliyoyasema ya naishi na kufanyiwa kazi...
Katika nafasi yake leo...na Amini anafanya mambo mengi...yeye si muamuzi....
Hivyo kijana tulia uone mambo yakishughulikiwa
 
Badala wahangaike na hali ya sasa ya chama wanaanza kumchokonoa mzee wa watu. Akijibu mtapoteana muanze kulalamika tena. Endeleeni kumchokonoa .....
 
Alikua padri akaacha,akaoa mke akaacha akaoa tena. Alikua CCM akatoka,akaenda CHADEMA akatoka. Aliwapinga mafisadi sasa anawakumbatia. Hauhitaji akili nyingi kujua huyu ni mtu wa aina gani.

Yes,huyu ni mtu mwenye msimamo.ambaye wakati wote hujitenga na wenye mizaha.Bravo
 
Tonge La Mwisho Ndiyo La Kukombea Mboga 😀
 
Mwacheni mzee wa watu ale kuku kwa siku hizi za mwisho?

Wa TZ hambebeki mzee alihangaika sana kwenye maandamano alikuwa anasimama front! Mkewe aliwahi kupigwa hadi damu!!!
Hambebeki juzi mlitakiwa kundamana mkajifungia vyumbani na wake zenu!!

Pambaneni na hali zenu! Ndio kaamua hivyo DR Slaa. Hivi karibuni jiwe anataka hapa ndani hata jina lako ulitaje wazi....siyo maha.. nini sijui!!
 
Kama kuna kauli ilinishangaza kutoka kwa daktali slaa basi nikuutangazia uma eti alikua akishindia mihogo,huku kwa mwezi alikua akitia m7 kibindoni.
 
Msipoteze muda wenu kuhangaika na siasa za tanzania. Fanyeni kazi
 
Mwacheni Dr Slaa atuwakilishe huko Sweden!
 
Jamani kumtunza Josephine ni shughuli ya gharama kubwa
Huyu mzee afanyeje zaidi ya kunywa matapishi yake

Kazi mnayo....Ngoja amtunze vizuri baby wake...lingine?
 

Attachments

  • 20180308_095845.jpg
    148.9 KB · Views: 39
Mh Balozi ni vema ukajitokeza kujibu maswali haya ili wanaCCM wenzio wakuamini .
 
Tangu mchakato wa KATIBA MPYA uliposhindwa ndio nikatambua kama nchi hatutaweza kufanikisha jambo lolote la maana hadi pale kizazi cha uhuru kitakapofutika kwenye uso wa dunia.

Kwenye mkwamo kama huu ni wanafunzi wa vyuo vikuu ndiyo wanakuwa "conscience of the nation". Ndivyo ilivyokuwa Kenya wakati wakijadili vipengele muhimu vya katiba yao mpya. Sasa wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania sijui wamekengeukaje? Do they only live for themselves? But that would be contrary to their youthful nature!
 
Mbona mnahangaika sana na Dr. Slaa nyie mlishaamua kumbeba huyo mtu wenu na Dr alishaamua kuwaachia chama chenu mmemuita kila jina, yeye ameendelea na utaratibu wake wa maisha kabla ya kumlaumu tuelezeni sisi kwanini mtu mliyemtangaza fisadi ndiye mlimpa nafasi ya kugombea urais?
 
Povu loote kumtetea Lowasa na kushinikiza Slaa aonekane anamakosa, cdm bwana wanasiasa za matope!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…