kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,114
Mzee ana uchu wa madaraka. Laana inawatafuna pamoja na Lipumba wake
MUNGU alipenda litokee hili kwa sababu first lady josephine naye ni changamoto....... maana alianzisha hadi group la watu aliosoma nao na kuwapa michongo hata u first hajapataMwanahabari huru nimekusoma na kukuelewa,,lakini binafsi huwa simulaumu padri dr slaa,, bali lawama zote zimuendee aliyekuwa first lady mtarajiwa josephina mshumbusi kwa nguvu kubwa mno aliyoitumia kumnyamazisha mzee wa watu,, na hata kama ni mimi nisingekubali kupoteza papunchi tena ya mtoto mdogo wakati mimi mzee kwa sababu ya siasa,, jamani mtamlaumu bure slaa.
Dk hana ujanja kwa kaisiki,mama ananguvu kuliko huyo mzeeMwanahabari huru nimekusoma na kukuelewa,,lakini binafsi huwa simulaumu padri dr slaa,, bali lawama zote zimuendee aliyekuwa first lady mtarajiwa josephina mshumbusi kwa nguvu kubwa mno aliyoitumia kumnyamazisha mzee wa watu,, na hata kama ni mimi nisingekubali kupoteza papunchi tena ya mtoto mdogo wakati mimi mzee kwa sababu ya siasa,, jamani mtamlaumu bure slaa.