Kwako Balozi Dkt. Wilbroad Peter Slaa

For the first time nimesikia ambayo hata momi niliyauliza na bado najiuliza kwa kujua uadilifu wa Dr. Slaa.
Nilimsifu aliposema atakuwa nje ya vyama vya siasa. Lakini sasa je yuko wapi?
Kweli siasa hasa hapa Tz haieleweki.
Ni kama vile hakuna hata moja kati ya wanasiasa tena aliye na sense ya ukweli na haki licha ya Hayati Mtukufu wetu Mwalimu K. Nyerere!!!!
 
How hcan he run away from one fisadi na kwenda kukumbatia mafusadi zaidi ya kumi?????
Na kuwa bubu wakati akiyatazama maovu yanayotendeka.
Mpaka risasi za TL alisema ni mambo ya kawaida.
I almost died hearing that! Lol!
 
We jamaa unahangaika Sana motandaoni, waisraeli wapo kazini tumeingia ubia, soon utajulikana jina.Nissan nyeupe inakuhusu, tafuta kazi nyingine hii itakupoteza kwenye USO wa dunia.Ni ushauri tu.
Wacha watu watoe mitazamo yao...ili na wakina sisi tujisomee...suala la vitisho halina nafasi.....kwani wewe utabaki milele kwenye uso wa dunia?..hao wenyewe wanaoendesha hizo Nissan ni marehemu watarajiwa kama wengine including hao waisraeli unaowaamini....ukitaka usife dawa ni moja tu usizaliwe.......period
 
Chama kimekwisha jifia unataka dr Slaa afanye nini?,pambaneni wenyewe,pesa ya Lowassa ilikua tamu lakini si endelevu
 
Chama cha siasa ili kiwe na nguvu ni lazima kiwe na NARRATIVE yenye mvuto. Wakati Dr Slaa akiwa Katibu Mkuu wake, Chadema kilipata nguvu kwa kasi kubwa chini ya NARRATIVE ya kupinga ufisadi. Wote tuliaminishwa kwamba Chadema kina PRINCIPLE. Binafsi nilikiamini hadi nikakichangia fedha. A nontrivial amount.

Kilipofika kipindi cha uchaguzi mkuu uliopita, Chadema wakakiuka PRINCIPLE inayosema "the end does not justify the means". Waliamua wawakanganye wananchi kwa kuchukua mtu waliyedhani "ana nguvu sana" apeperushe bendera yao, pamoja na ukweli kwamba walikuwa wanamtaja huyo mtu kuwa ni fisadi papa. That destroyed their NARRATIVE completely.

Ushauri wa bure kwa Chadema. Tafuteni NARRATIVE nyingine yenye mvuto mkubwa na muiimbe kila mahali na kila saa. Mpaka ikolee kabisa. Itawajenga tena. Ipo NARRATIVE ya aina hiyo. Ni KATIBA MPYA. Drop everything and concentrate on that. Mbona mtaungwa mkono na kila mtu! Hata CCM wengi watawaunga mkono.

Stop petty things like attacking Dr Slaa. That won't build you up. He commands far more respect that you do.
 
Martin angekuwepo ningeweza kuuliza kitu.Ila thanks kwa kukopi na Kuposti mada moto iko fb
 
Ushauri wa bure kwa Chadema. Tafuteni NARRATIVE nyingine yenye mvuto mkubwa na muiimbe kila mahali na kila saa. Mpaka ikolee kabisa. Itawajenga tena. Ipo NARRATIVE ya aina hiyo. Ni KATIBA MPYA. Drop everything and concentrate on that. Mbona mtaungwa mkono na kila mtu! Hata CCM wengi watawaunga mkono.
Stop petty things like attacking Dr Slaa. That won't build you up. He commands far more respect that you do.
Tangu mchakato wa KATIBA MPYA uliposhindwa ndio nikatambua kama nchi hatutaweza kufanikisha jambo lolote la maana hadi pale kizazi cha uhuru kitakapofutika kwenye uso wa dunia.
 
Nafikiri mleta mada ukapimwe mkojo,lini slaa amehamia ccm,maneno ya nape tabora wachafu ndio wale walioondoka ccm wamepokelewa kule,chadema ndio waliosema lowassa ni fisadi slaa alikua msomaji wa karatasi na mnae!
 
Mkuu, hakuna mkate mgumu kwenye chai au maji. Ndivyo ilivyo mwanasiasa na tumbo lake
 
Back
Top Bottom